helow
Wadau mm ni mfanyabiashara wa kati, nnaenunua tikiti maji na ku_supply jijini Dar-es-salaam. Kwa yeyote anaefanya kilimo hiki, tuwasiliane tujenge uchumi wetu. Biashara hii inafaida kubwa ila pia inahitaji kuzingatia kanuni za kilimo chake
*IYO 500 NI IDADI NA SI BEI, BEI ZIPO ZINAJULIKANA NA PIA NI MAELEWANO, no hujuma
*I pay in cash
Wadau mm ni mfanyabiashara wa kati, nnaenunua tikiti maji na ku_supply jijini Dar-es-salaam. Kwa yeyote anaefanya kilimo hiki, tuwasiliane tujenge uchumi wetu. Biashara hii inafaida kubwa ila pia inahitaji kuzingatia kanuni za kilimo chake
*IYO 500 NI IDADI NA SI BEI, BEI ZIPO ZINAJULIKANA NA PIA NI MAELEWANO, no hujuma
*I pay in cash