monotheist
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 830
- 1,449
Habari za siku,
Ningependa kupata ufafanuzi juu ya biashara ya kununua kuku mkoani na kuuza mjini (Dar ea salaam) Ningependa kufahamu yafuatayo;
1)Bei ya kila kuku mmoja ni Tsh ngapi huko vijijini?
2)Mkoa (kijiji) gani ambapo kuku hupatika kwa wingi na wenye maumbo makubwa?
3)Usafiri wa aina gani ni rafiki kwa kuku (Bus au Roli)?
4)Eneo gani hapa Dar naweza kupata soko la uhakika kwa bei ya jumla au rejareja?
5)Changamoto ya biashara hii ( faida na hasara)
Ningependa kupata ufafanuzi juu ya biashara ya kununua kuku mkoani na kuuza mjini (Dar ea salaam) Ningependa kufahamu yafuatayo;
1)Bei ya kila kuku mmoja ni Tsh ngapi huko vijijini?
2)Mkoa (kijiji) gani ambapo kuku hupatika kwa wingi na wenye maumbo makubwa?
3)Usafiri wa aina gani ni rafiki kwa kuku (Bus au Roli)?
4)Eneo gani hapa Dar naweza kupata soko la uhakika kwa bei ya jumla au rejareja?
5)Changamoto ya biashara hii ( faida na hasara)