Yeysk, Urusi: Ndegevita ya Urusi yaangukia ghorofa la makazi, wanne wafariki

Wamemtumia Salam kuwa wanauwezo wakuzishusha ndege zote kabla kuvuka anga ya Russia. Ajitafakari watakapo mshushia mvua ya mabomu hatolala na ndio itakuwa end of Russian federation
Inadaiwa ni ajali ya kawaida; ha ha ha!
 
Imetunguliwa hiyo maana huo mji uko mpakani mwa u
 
Wewe nae kila topic unatatarika kama mahindi ya bisi kikaangoni.Kwani kuna shida gani kwa hii topic?
 
Imependeza sasa
 
Wamemtumia Salam kuwa wanauwezo wakuzishusha ndege zote kabla kuvuka anga ya Russia. Ajitafakari watakapo mshushia mvua ya mabomu hatolala na ndio itakuwa end of Russian federation

Mtasubiri sana sana, mkuu unajua kitakacho fuata katika vita hii? Ukraine nzima itachukuliwa na Jeshi la Urusi mzobe mzobe iwe sehemu ya Taifa la Urusi kama zamani ili kung'oa mzizi wa fitina kutokana na Ukraine kutumiwa mara kwa mara na Merikani kuihujumu Urusi kiuchumi na kutaka kuidhoofisha Urusi kijeshi.

Waamerika wanataka vita hii iendelee kwa muda mrefu igeuzwe kuwa vita ya msituni - uzuri Generali Chinja chinja wa Urusi amekwisha lishtukia hilo, ndio maana kasema hatafanya biashara hiyo,badala yake atatumia uwezo mkubwa wa kijeshi wa Taifa la Urusi kuwafyekelea mbali jeshi la ki-neo NAZI la Ukraine na wasaidizi wao ie some NATO/US troops bila ya kuwaonea huruma - na mimi naunga mkono maoni ya Generali Chinja chinja - mabeberu taabu sana, bila kuwapa fundisho la mwaka wataitumia Ukraine kuikosesha amani ya kudumu Urusi, time to act is now, not later.

Urusi should Annex Ukraine nzima nzima halafu tuone hao vocal Amerika na wapambe wao watafanya nini,je watakubali kupigana vita ya nuklia ili kumtetea Zelensky au wata baki pembeni wasijue la kufanya - yetu macho.
 
Kwa jinsi Russia anavyomiliki mandege ya kivita mabovu na chakavu sana, huenda hilo limechangia kwa hiyo ndege kuanguka.

Je, una habari mwaka jana ni ndege ngapi za kivita na mizigo la jeshi la Merikani zilipata ajali huko Merikani kwenyewe,bara la Ulaya na mashariki ya kati na mashariki ya mbali - fuatilieni habari hizi kwa karibu sio masaa yote mnatiririka na maneno ya kashfa kuhusu everything Russian, just emulating blindly: CNN,BBC,FoxNews,SkyNews dirty propaganda to the letter - mnashangaza sana sana!!
 
Atalaumiwa Marekani
hapa nlikuwa naangalia mitizamo ya warusi wa ukwel kumbe ni km hawa wa lumumba , wao.wamedanganya kuwa eti hii vita kailleta USA na lengo ni kuivuruga Urusi na kuwadhoofisha ila warus wanasahau kuwa wao ndo walianza kuivamia Ukraine na kupora jimbo la crimea pia wakaenda mbali na kusababbisha civil wars ndan ya ukraine kwa kuwatumia wale nyumbu wanaozungumza kirusi , walipoona hali ni ngumu wao tena wakaivamia nchi , Sasa nkiangalia sio makosa ya USA au WEST maana Urusi alikuwa na alternatives nying za kuyapata hayo majimbo au nchi nzima ya Ukraine bila silaha ila waliona silaha ndo njiq bora sasa wameona hali mbaya wakayamezq hayo majimbo ili wakivamiwa wapate sabab za kutumia silaha hatari zaid , ila mwishowe kama Hitler ataangushwa tu
 
Waliofariki wamefika 13. Wamezidi mpaka idadi ya waUkraine waliokufa kwa yale mashambulizi ya kamikaze drones,What goes around comes around.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…