Waziri wa Ulinzi wa Israel ametuma ujumbe kuwa uongozi wa Kiongozi moya wa Magaidi ya Hezbollah, Naim Qassem, takuwa wa muda mfupi tu.
Soma Pia:
View attachment 3138332
- Waziri wa Ulinzi wa Israel Jenerali Yoav Gallant asema mazungumzo yeyote ya kusitisha vita Lebanon yatafanywa "chini ya mtutu wa bunduki"
- Naim Qassem ateuliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa kikundi cha kigaidi Hezbollah
apambane Gaza kule wa 4 wamefyekwa leo aache kelele
Duh , anawahishwa kwa mola wakeWaziri wa Ulinzi wa Israel ametuma ujumbe kuwa uongozi wa Kiongozi moya wa Magaidi ya Hezbollah, Naim Qassem, takuwa wa muda mfupi tu.
Soma Pia:
View attachment 3138332
- Waziri wa Ulinzi wa Israel Jenerali Yoav Gallant asema mazungumzo yeyote ya kusitisha vita Lebanon yatafanywa "chini ya mtutu wa bunduki"
- Naim Qassem ateuliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa kikundi cha kigaidi Hezbollah
Wataongeaje wakati waongeqji wote wameuwawa?!Hezbollah hawana muda wa kuongea wao ni kumwaga moto tu hapo ndo nawapendea.
Hiyo ni mikono ya kifgaidi ya Iran hivyo lazima ikatweSasa jamaa anafikiri hao jamaa wanaogopa kufa!, hao wameshachagua kufa kuliko kuishi, option number moja kwao ni kufa na kuishi ni pale ambapo kuna alternative.
Hizbollah na Iran waliamua kuwapigania Palestina, kifupi wamechagua upande wa wanyonge kuwasaidia kudai haki yao bila malipo yeyote.
Mzee wa watu ajiandae kwenda jochotea mipombe kwenye mito huko akhera ila kama hajui maumivu ya hangover ajivue kushtua hata kakonuagi kadogo huku duniani kwa mazayuni.Waziri wa Ulinzi wa Israel ametuma ujumbe kuwa uongozi wa Kiongozi moya wa Magaidi ya Hezbollah, Naim Qassem, takuwa wa muda mfupi tu.
Soma Pia:
View attachment 3138332
- Waziri wa Ulinzi wa Israel Jenerali Yoav Gallant asema mazungumzo yeyote ya kusitisha vita Lebanon yatafanywa "chini ya mtutu wa bunduki"
- Naim Qassem ateuliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa kikundi cha kigaidi Hezbollah
Waongeaji wameuwawa lakini moto unazidi kuwaka. Nakuacha uendelee kushangaaWataongeaje wakati waongeqji wote wameuwawa?!
Jamaa wana dharau hawaWaziri wa Ulinzi wa Israel ametuma ujumbe kuwa uongozi wa Kiongozi moya wa Magaidi ya Hezbollah, Naim Qassem, takuwa wa muda mfupi tu.
Soma Pia:
View attachment 3138332
- Waziri wa Ulinzi wa Israel Jenerali Yoav Gallant asema mazungumzo yeyote ya kusitisha vita Lebanon yatafanywa "chini ya mtutu wa bunduki"
- Naim Qassem ateuliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa kikundi cha kigaidi Hezbollah
Nilikuwa najibu ile Comment yako kuwa Hezbola hawaongei.Waongeaji wameuwawa lakini moto unazidi kuwaka. Nakuacha uendelee kushangaa