Yoav Gallant: Uongozi wa Kiongozi mpya wa Hezbollah, utakuwa ni wa muda mfupi

Yoav Gallant: Uongozi wa Kiongozi mpya wa Hezbollah, utakuwa ni wa muda mfupi

Huyu anatakiwa asimalize wiki moja awahishwe kula mabikra 72 akhera ya mohamad, la sivyo IDF nitawadharau sana
 
Kwamba kwenye hi dunia, kuna mtu HAOGIPI kufa? Kwanini watu wanajificha na kuishi kwa shida? Yaani mtu anaishi pangoni (kwenye mahandaki ) ili aiponye ROHO yake halafu tunadai eti haogipi KUFA? Action speaks differently with their mouths and we choose to believe what they say and ignoring what they act! Interesting
 
Kwamba kwenye hi dunia, kuna mtu HAOGIPI kufa? Kwanini watu wanajificha na kuishi kwa shida? Yaani mtu anaishi pangoni (kwenye mahandaki ) ili aiponye ROHO yake halafu tunadai eti haogipi KUFA? Action speaks differently with their mouths and we choose to believe what they say and ignoring what they act! Interesting
Mkiambiwa wazayuni wa jf hamna mnalojua mnaona mnadharauliwa kumbe mnapewa haki yenu ungekua wewe unajua unasakwa na wazayuni na mtangulizi wako kafyekwa nna imani ungeenda kupiga goti teli avivu ila naem qassem kitendo chakukubali kua katibu mkuu mpya wa hizbollah anajua kwamba mazayuni wanamsaka ila hajakoma anashikilia nafasi muwe na akili hata za kuvukia barabara nyie wazayuni
 
Sasa jamaa anafikiri hao jamaa wanaogopa kufa!, hao wameshachagua kufa kuliko kuishi, option number moja kwao ni kufa na kuishi ni pale ambapo kuna alternative.

Hizbollah na Iran waliamua kuwapigania Palestina, kifupi wamechagua upande wa wanyonge kuwasaidia kudai haki yao bila malipo yeyote.
Wewe acha uongo kama wanapenda kufa mahandaki yote ya nini au kwa nini waga wanakimbilia kujificha kwa wanawake na watoto. Hakuna bingwa mbele ya kifo bwana usitudanganye.
 
Sasa jamaa anafikiri hao jamaa wanaogopa kufa!, hao wameshachagua kufa kuliko kuishi, option number moja kwao ni kufa na kuishi ni pale ambapo kuna alternative.

Hizbollah na Iran waliamua kuwapigania Palestina, kifupi wamechagua upande wa wanyonge kuwasaidia kudai haki yao bila malipo yeyote.
HAWA PIA WAMECHAGUA KUPAKWA MAFITA YA PIDIDI NA YULE MFU WA PALE MACCA
 
Sasa jamaa anafikiri hao jamaa wanaogopa kufa!, hao wameshachagua kufa kuliko kuishi, option number moja kwao ni kufa na kuishi ni pale ambapo kuna alternative.
Kumbe Israel wasilaumiwe kwa kuwaua viongozi wa Hezbollah na Hama's kwa kuwa wamechagua kufa, kwa hiyo Israel wana haki ya kuwaua.
 
Ndege zimejificha Iraq huko tudondoshe nini? nendeni kwanza UN mkajieleze kwanini mtumie anga la watu kama vibaka
Mbaya zaidi marubani wakike ndio wameingia na ndege hadi ndani ya Iran wakapeleka msiba kwa jeshi la Iran, safari hii Allah kayatimba aandae mabikra wa kutosha
 
Mbaya zaidi marubani wakike ndio wameingia na ndege hadi ndani ya Iran wakapeleka msiba kwa jeshi la Iran, safari hii Allah kayatimba aandae mabikra wa kutosha
Ebu kadanganye watoto marubani wa kike walikuwa 4 tuu, waliobaki wote ni wanaume ukitafuta % hata 10% HAWAJAFIKA,na ndio maana mliishia Iraq ambao hawana Air defense ya kueleweka,hata Jordan mliogopa maana wanazo Air defense, mabikira muhimu unataka kila mtu akaimbe imbe huko , wengine hatuwezi chosha koo zetu
 
Hivi dogo bado una akili za kushikiwa na wazungu na wayahudi au. We upo dunia ipi mnajidai Israel ni super power. Ngojea nikupe sasa details ili upate akili ujuwe Israel na baba yake US na wajomba zake UK, Germany, France, Canada na vibaraka wao wakiarabu, walipo anza vita na Hamas walisema; Hututaki mazungumzo na Hamas, lazima Hamas tuipoteze kabisa hapo Gaza, na hao matekwa watawachia kwa nguvu. Je wanefanikiwa?
Leo US anakiri wazi wazi kwa njia moja au ingine Hamas hawezi kurudisha matekwa wa Israel isipokuwa kwa kubadilishana wafungwa wa Hamas kwa matekwa wao. Sa nani hapo kashinda vita kwa akili yako???? Hamas wapo na masharti yao ndio yatafatwa watake wasitake subiri uone US atatoa resolution UN kwa ajili ya kusimamisha vita kwa masharti ya Hamas.

Kuhusu Lebanon alienda ili awarudishe Hezbullah kwa njia ya nguvu mpa nyuma yamto Letan, wakati toka zamani Hezbullah walikuwepo kule kwa sheria ya UN 1701. Israel alivyo anza kuspy Lebanon Hezbulah wakaumua kuwasaidia Hamas wakawa na watandika ikabidi wananchi wa Israel waliopo North wakimbie. Israel akasema lengo pia la kwenda kufungua vita na Lebanon ni kuwarudisha hao wananchi wake walio kimbia North.

Nasurlah akawambia hawatarudi je wamerudi? Sa mnajidai Israel ni super power, kitugani alicho fanikiwa katika hizi vita mbili? Zaidi ya kuwauwa badhi ya viongozi je yeye watu wake wangapi wamekufa? ukisikia Israel anakuambia watu wake wamekufa ni 10 we piga mara 10 ndio jibu halisi. Wanasema walio umia sijui 3046 ukweli wao wenyewe kuna njia moja au ingine wanakiri ni zaidi ya 70, 000 😄
 
Ebu kadanganye watoto marubani wa kike walikuwa 4 tuu, waliobaki wote ni wanaume ukitafuta % hata 10% HAWAJAFIKA,na ndio maana mliishia Iraq ambao hawana Air defense ya kueleweka,hata Jordan mliogopa maana wanazo Air defense, mabikira muhimu unataka kila mtu akaimbe imbe huko , wengine hatuwezi chosha koo zetu
Nusu ya marubani walioenda Iran ni wanawake na Israel walishajua kwamba Iran hawana any air defence system worth talking about ila ni kelele tu za kiswahili ndio wanazo.

So they went, they hit and they returned completely unscathed. Iran is not what it was thought to be.
 
Huyo Kasimu ni the walking corpse kama kawaida. Soon he will be sent to meet with Nasrallah and the imaginary 72 virgins in akhera.
Kwanini Israel na Hezbollah hawawezi settle their differences peaceful without deploying military struggle ?
 
Tusidanganyane kifo hakizoeleki na hakuna anaependa kufa. Mbele ya kamera anaweza kujifanya jasiri kuwapa morali wapiganaji lakini nyuma ya ni huzuni ni woga. Yahudi anafanya ukatili wa hali ya juu
 
Back
Top Bottom