kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Huyu anatakiwa asimalize wiki moja awahishwe kula mabikra 72 akhera ya mohamad, la sivyo IDF nitawadharau sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wale wa 4 wa Iran, ambao watu walipiga yowe humu kuwa ni jambo kubwaKumbe wanne tuu, tulijua hata ishirini huko
Yupo sana huyu , watu wameziba mianya, muda wa kula mabikra ukifika ataenda tu , kifo ni lazima, lakini muhimu hawezi kwenda kuimba kuimba huko na kukausha kooHuyu anatakiwa asimalize wiki moja awahishwe kula mabikra 72 akhera ya mohamad, la sivyo IDF nitawadharau sana
Mkiambiwa wazayuni wa jf hamna mnalojua mnaona mnadharauliwa kumbe mnapewa haki yenu ungekua wewe unajua unasakwa na wazayuni na mtangulizi wako kafyekwa nna imani ungeenda kupiga goti teli avivu ila naem qassem kitendo chakukubali kua katibu mkuu mpya wa hizbollah anajua kwamba mazayuni wanamsaka ila hajakoma anashikilia nafasi muwe na akili hata za kuvukia barabara nyie wazayuniKwamba kwenye hi dunia, kuna mtu HAOGIPI kufa? Kwanini watu wanajificha na kuishi kwa shida? Yaani mtu anaishi pangoni (kwenye mahandaki ) ili aiponye ROHO yake halafu tunadai eti haogipi KUFA? Action speaks differently with their mouths and we choose to believe what they say and ignoring what they act! Interesting
Kule mlipigwa mkiwa chumbani kwenu kabisa ona utofauti hapoKama wale wa 4 wa Iran, ambao watu walipiga yowe humu kuwa ni jambo kubwa
Waliokufa ni wale wale tu hata upigiwe juu ya mtiKule mlipigwa mkiwa chumbani kwenu kabisa ona utofauti hapo
Kuongea waachie waimba muziki , Hizbollah kazi tuHezbollah hawana muda wa kuongea wao ni kumwaga moto tu hapo ndo nawapendea.
Mlishindwa kudondosha hata F16 Moja aibu gani hii!! Tofauti na shambulizi la kurushiana risasiWaliokufa ni wale wale tu hata upigiwe juu ya mti
Wewe acha uongo kama wanapenda kufa mahandaki yote ya nini au kwa nini waga wanakimbilia kujificha kwa wanawake na watoto. Hakuna bingwa mbele ya kifo bwana usitudanganye.Sasa jamaa anafikiri hao jamaa wanaogopa kufa!, hao wameshachagua kufa kuliko kuishi, option number moja kwao ni kufa na kuishi ni pale ambapo kuna alternative.
Hizbollah na Iran waliamua kuwapigania Palestina, kifupi wamechagua upande wa wanyonge kuwasaidia kudai haki yao bila malipo yeyote.
HAWA PIA WAMECHAGUA KUPAKWA MAFITA YA PIDIDI NA YULE MFU WA PALE MACCASasa jamaa anafikiri hao jamaa wanaogopa kufa!, hao wameshachagua kufa kuliko kuishi, option number moja kwao ni kufa na kuishi ni pale ambapo kuna alternative.
Hizbollah na Iran waliamua kuwapigania Palestina, kifupi wamechagua upande wa wanyonge kuwasaidia kudai haki yao bila malipo yeyote.
Kumbe Israel wasilaumiwe kwa kuwaua viongozi wa Hezbollah na Hama's kwa kuwa wamechagua kufa, kwa hiyo Israel wana haki ya kuwaua.Sasa jamaa anafikiri hao jamaa wanaogopa kufa!, hao wameshachagua kufa kuliko kuishi, option number moja kwao ni kufa na kuishi ni pale ambapo kuna alternative.
Ndege zimejificha Iraq huko tudondoshe nini? nendeni kwanza UN mkajieleze kwanini mtumie anga la watu kama vibakaMlishindwa kudondosha hata F16 Moja aibu gani hii!! Tofauti na shambulizi la kurushiana risasi
Mbaya zaidi marubani wakike ndio wameingia na ndege hadi ndani ya Iran wakapeleka msiba kwa jeshi la Iran, safari hii Allah kayatimba aandae mabikra wa kutoshaNdege zimejificha Iraq huko tudondoshe nini? nendeni kwanza UN mkajieleze kwanini mtumie anga la watu kama vibaka
soon natanyahu also will be sent to hellHuyo Kasimu ni the walking corpse kama kawaida. Soon he will be sent to meet with Nasrallah and the imaginary 72 virgins in akhera.
Ebu kadanganye watoto marubani wa kike walikuwa 4 tuu, waliobaki wote ni wanaume ukitafuta % hata 10% HAWAJAFIKA,na ndio maana mliishia Iraq ambao hawana Air defense ya kueleweka,hata Jordan mliogopa maana wanazo Air defense, mabikira muhimu unataka kila mtu akaimbe imbe huko , wengine hatuwezi chosha koo zetuMbaya zaidi marubani wakike ndio wameingia na ndege hadi ndani ya Iran wakapeleka msiba kwa jeshi la Iran, safari hii Allah kayatimba aandae mabikra wa kutosha
Hivi dogo bado una akili za kushikiwa na wazungu na wayahudi au. We upo dunia ipi mnajidai Israel ni super power. Ngojea nikupe sasa details ili upate akili ujuwe Israel na baba yake US na wajomba zake UK, Germany, France, Canada na vibaraka wao wakiarabu, walipo anza vita na Hamas walisema; Hututaki mazungumzo na Hamas, lazima Hamas tuipoteze kabisa hapo Gaza, na hao matekwa watawachia kwa nguvu. Je wanefanikiwa?Waziri wa Ulinzi wa Israel ametuma ujumbe kuwa uongozi wa Kiongozi moya wa Magaidi ya Hezbollah, Naim Qassem, takuwa wa muda mfupi tu.
Soma Pia:
View attachment 3138332
- Waziri wa Ulinzi wa Israel Jenerali Yoav Gallant asema mazungumzo yeyote ya kusitisha vita Lebanon yatafanywa "chini ya mtutu wa bunduki"
- Naim Qassem ateuliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa kikundi cha kigaidi Hezbollah
Nusu ya marubani walioenda Iran ni wanawake na Israel walishajua kwamba Iran hawana any air defence system worth talking about ila ni kelele tu za kiswahili ndio wanazo.Ebu kadanganye watoto marubani wa kike walikuwa 4 tuu, waliobaki wote ni wanaume ukitafuta % hata 10% HAWAJAFIKA,na ndio maana mliishia Iraq ambao hawana Air defense ya kueleweka,hata Jordan mliogopa maana wanazo Air defense, mabikira muhimu unataka kila mtu akaimbe imbe huko , wengine hatuwezi chosha koo zetu
Kwanini Israel na Hezbollah hawawezi settle their differences peaceful without deploying military struggle ?Huyo Kasimu ni the walking corpse kama kawaida. Soon he will be sent to meet with Nasrallah and the imaginary 72 virgins in akhera.