Yoda na Infropreneuer njoeni hapa niwaelekeze kitu kuhusu upingaji wenu wa ulimwengu wa kiroho

Yoda na Infropreneuer njoeni hapa niwaelekeze kitu kuhusu upingaji wenu wa ulimwengu wa kiroho

Stability

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2020
Posts
306
Reaction score
706
Yoda
Infropreneur

Kwanza Infropreneur unapokuwa unafanya debate au open dialogue usipende kuweka hisia mbele, weka intuition mbele, maana una bwaja bwaja sana.

Ni kweli seeing is believing kwamba mnahitaji uhakika wa shetani physically, Mungu physically na uchawi physically ndio kweli muamini kuwa wapo/upo.

Lakini kabla ya hapo ningependa nyie nao mjiulize swali hilo hilo mnalopenda kuuliza watu.

Swali lenu: "Mna ushuhuda gani kama kweli Mungu/Shetani/Uchawi yupo/upo??"

Nyie nao mjiulize "Hivi nina ushuhuda gani kuwa Mungu/Shetani/Uchawi kweli hayupo/haupo?"

Kwa maana miaka ya zamani kidogo kuna mwanasayansi alijaribu kuwaambia watu kuwa dunia ndio inayozunguka jua bali sio jua ndilo linalozunguka dunia, kilichofata jamaa akakamatwa, lakini leo dunia nzima ishajua kuwa dunia ndio inayozunguka dunia.

Sawa hakuna Mungu, lakini there must be a reason ya uwepo wetu huu na nyota angani, na reason hio ndio higher power maana imeweza kucreate.

So ni vizuri mtu ukawa open minded, hata kama uamini kitu, usipende kujiweka asilimia 100 maana mwanadamu yuko limited, akili yake mwenyewe hatumii hata robo ya uwezo wake. Maana tulijua saayari tisa tu ila kumbe zipo lukuki na nyingine hadi zinafanania na dunia. (Maybe kuna watu kama sisi kwenye sayari nyingine).
 
Bado wanafunzi hao, au waajiliwa so hawajui chochote kuhusu utafutaji, watakupasua tu akili.
 
Yoda
Infropreneur

Kwanza Infropreneur unapokuwa unafanya debate au open dialogue usipende kuweka hisia mbele, weka intuition mbele, maana una bwaja bwaja sana.
Wapi nimebwabwaja wewe?

Thibitisha.

Mimi mtu akija na hoja, tutajenga hoja.

Ukija na lugha za matusi na kejeli utapata stahiki zako vilevile.

A fool must be answered according to his or her foolishness.
Ni kweli seeing is believing kwamba mnahitaji uhakika wa shetani physically, Mungu physically na uchawi physically ndio kweli muamini kuwa wapo/upo.

Lakini kabla ya hapo ningependa nyie nao mjiulize swali hilo hilo mnalopenda kuuliza watu.

Swali lenu: "Mna ushuhuda gani kama kweli Mungu/Shetani/Uchawi yupo/upo??"
Madai ya uwepo wa Mungu, shetani na uchawi yametoka kwenu nyie watu wa imani. Nyie ndio mna hizo imani za uwepo wa vitu hivyo.

Hivyo ninyi ndio mnapaswa kuthibitisha madai yenu ya uwepo wa huyo Mungu na Shetani, Mnaodai na kuamini wapo.

Mkishindwa kuthibitisha madai yenu ya uwepo wa Mungu, Shetani na uchawi ni kwamba madai yenu ni ya UONGO.

Na huyo Mungu na shetani hawapo.
Nyie nao mjiulize "Hivi nina ushuhuda gani kuwa Mungu/Shetani/Uchawi kweli hayupo/haupo?"
Madai ya uwepo wa Mungu, shetani na uchawi yametoka kwenu nyie, Hivyo jukumu la kuthibitisha lipo kwenu nyie waamini huyo Mungu na shetani.

Mkishindwa kuthibitisha madai yenu, Ni kwamba madai yenu ni ya uongo.

Na huyo Mungu na Shetani mnaodai wapo, Hawapo.
Kwa maana miaka ya zamani kidogo kuna mwanasayansi alijaribu kuwaambia watu kuwa dunia ndio inayozunguka jua bali sio jua ndilo linalozunguka dunia, kilichofata jamaa akakamatwa, lakini leo dunia nzima ishajua kuwa dunia ndio inayozunguka dunia.

Sawa hakuna Mungu, lakini there must be a reason ya uwepo wetu huu na nyota angani, na reason hio ndio higher power maana imeweza kucreate.
Unathibitisha vipi vitu vilikuwa created?

Ukiondoa Man -made things, Hivi vitu vingine vyote vinavyobakia, Unathibitishaje kwamba vilikuwa created?

Au unajaribu kufosi tu kwamba lazima viwe created?

Kama lazima viwe created, Hata huyo creator lazima awe created.

Creator huyo hawezi ku exist mwenyewe tu, from no where, pasipo kuwa created.

Una elewa hilo?
So ni vizuri mtu ukawa open minded, hata kama uamini kitu, usipende kujiweka asilimia 100 maana mwanadamu yuko limited, akili yake mwenyewe hatumia hata robo ya uwezo wake. Maana tulizua saayari tisa tu ila kumbe zipo lukuki na nyingine hadi zinafanania na dunia. (Maybe kuna watu kama sisi kwenye sayari nyingine).
 
Mi jana aseno. Amenichania mkeka unanishaul nn nb b rooo
Ndugu anaetaka ubeti anajua hautapata pesa

Kwa hio anazidi tajirika kwa manung'uniko yako.

Kubeti ni asili ya kamali ambayo tangu enzi na enzi imekuwepo lakini hakuna aliewahi kuufurahia matokeo zaidi ya kuwa mtumwa wake.

So kwa ushauri wangu achana na betting mkuu depression, madeni, kufirisika kunakuuhusu
 
Wapi nimebwabwaja wewe?

Thibitisha.

Mimi mtu akija na hoja, tutajenga hoja.

Ukija na lugha za matusi na kejeli utapata stahiki zako vilevile.

A fool must be answered according to his or her foolishness.

Madai ya uwepo wa Mungu, shetani na uchawi yametoka kwenu nyie watu wa imani. Nyie ndio mna hizo imani za uwepo wa vitu hivyo.

Hivyo ninyi ndio mnapaswa kuthibitisha madai yenu ya uwepo wa huyo Mungu na Shetani, Mnaodai na kuamini wapo.

Mkishindwa kuthibitisha madai yenu ya uwepo wa Mungu, Shetani na uchawi ni kwamba madai yenu ni ya UONGO.

Na huyo Mungu na shetani hawapo.

Madai ya uwepo wa Mungu, shetani na uchawi yametoka kwenu nyie, Hivyo jukumu la kuthibitisha lipo kwenu nyie waamini huyo Mungu na shetani.

Mkishindwa kuthibitisha madai yenu, Ni kwamba madai yenu ni ya uongo.

Na huyo Mungu na Shetani mnaodai wapo, Hawapo.

Unathibitisha vipi vitu vilikuwa created?

Ukiondoa Man -made things, Hivi vitu vingine vyote vinavyobakia, Unathibitishaje kwamba vilikuwa created?

Au unajaribu kufosi tu kwamba lazima viwe created?

Kama lazima viwe created, Hata huyo creator lazima awe created.

Creator huyo hawezi ku exist mwenyewe tu, from no where, pasipo kuwa created.

Una elewa hilo?
Okey kumbe unaamini kuwa we are a result of creation or a happening kama sio creation. Vizuri sana. Haijalishi kama Mungu alitucreate ina maana hata yeye alikuwa created. Meaning kuna higher power. Hadi hapo umeshathibitisha Mungu yupo


Okey , thibitisha kuwa Mungu hayupo. Kwa mantiki na ustadi, sio kwa hisia na kukalili
 
Ndugu anaetaka ubeti anajua hautapata pesa

Kwa hio anazidi tajirika kwa manung'uniko yako.

Kubeti ni asili ya kamali ambayo tangu enzi na enzi imekuwepo lakini hakuna aliewahi kuufurahia matokeo zaidi ya kuwa mtumwa wake.

So kwa ushauri wangu achana na betting mkuu depression, madeni, kufirisika kunakuuhusu
Juzi nilikula m20 nimelima heka 9 za mfuta nikivuna si. Chn ya m35 vp unanishauliji
 
Juzi nilikula m20 nimelima heka 9 za mfuta nikivuna si. Chn ya m35 vp unanishauliji
Waoh, Vizuri kama imekufaiidisha maana umeanndika kama unalilia aseno amekufelisha 10,000
 
Okey kumbe unaamini kuwa we are a result of creation or a happening kama sio creation.
Hivi unaelewa nilicho andika?

Sisi sio result of creation. Hatujawa created.

Ulimwengu na vitu vyote vilivyomo except man-made things, Havina creator yeyote yule.
Vizuri sana. Haijalishi kama Mungu alitucreate ina maana hata yeye alikuwa created. Meaning kuna higher power. Hadi hapo umeshathibitisha Mungu yupo
Hakuna higher power.

Hakuna Mungu.

Ni wewe tu unajaribu kufosi uwepo wa huyo Mungu, ila huwezi kuthibitisha uwepo wake.
Okey , thibitisha kuwa Mungu hayupo. Kwa mantiki na ustadi, sio kwa hisia na kukalili
Kisichokuwepo hakithibitishiki kwa namna yoyote ile, Kwa vile hakipo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika kipo.

Una elewa hilo?
 
Back
Top Bottom