Mahitaji
1)Unga vikombe 4 vikubwa
2)Hamira 1 tablespoon
3)Asali 3 tablespoon
4)Maji ya uvuguvugu (warm) kikombe 1 kikubwa
5)Mtindi (yogurt) kikombe 1 kikubwa
6)Mafuta ya kupikia 1 tablespoon
7)Chumvi kiasi
Namna ya kutaarisha
1)Katika bakuli safi,changanya unga nusu kikombe,hamira,asali na maji ya uvuguvugu...koroga vizuri alafu acha kwa dakika 10-15
2)Katika mchanganyiko wa hamira changanya yogurt,vegetable oil,chumvi na unga changanya vizuri....hadi ubate donge laini kama la chapati
3)Kanda vizuri hadi iwe laini...
4)Funika na plastic wrap...acha uimuke for 1 hour
5)Kata kata viduara ukubwa kiasi then tengeneza round shape then weka kwenye trey...acha iumuke for 30 minutes
6)Chukua sharp knife then make slits juu hizo mkate yake (sio lazima hii ni kwa ajili ya kuzipamba tu na kufanya zivutie)
7)Weka kwenye oven 300-350 moto hadi ziwive vizuri...
Tayari kwa kuliwa
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
1)Unga vikombe 4 vikubwa
2)Hamira 1 tablespoon
3)Asali 3 tablespoon
4)Maji ya uvuguvugu (warm) kikombe 1 kikubwa
5)Mtindi (yogurt) kikombe 1 kikubwa
6)Mafuta ya kupikia 1 tablespoon
7)Chumvi kiasi
Namna ya kutaarisha
1)Katika bakuli safi,changanya unga nusu kikombe,hamira,asali na maji ya uvuguvugu...koroga vizuri alafu acha kwa dakika 10-15
2)Katika mchanganyiko wa hamira changanya yogurt,vegetable oil,chumvi na unga changanya vizuri....hadi ubate donge laini kama la chapati
3)Kanda vizuri hadi iwe laini...
4)Funika na plastic wrap...acha uimuke for 1 hour
5)Kata kata viduara ukubwa kiasi then tengeneza round shape then weka kwenye trey...acha iumuke for 30 minutes
6)Chukua sharp knife then make slits juu hizo mkate yake (sio lazima hii ni kwa ajili ya kuzipamba tu na kufanya zivutie)
7)Weka kwenye oven 300-350 moto hadi ziwive vizuri...
Tayari kwa kuliwa
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums