Yohana mbatizaji alistahili kutupwa gerezani

Yohana mbatizaji alistahili kutupwa gerezani

ONJO

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2022
Posts
216
Reaction score
265
Kwa wale mlioona jua leo hongereni,zaidi sana.Heri yao walioona jua na kulifanya kuwa makao usiku na mchana.

Najieleza,

Yeremia 1:4 inasema kabla hujazaliwa nilikujua,na baada ya kuzaliwa nilikutakasa.

Yohana 6:18 inasema yohana alikuwa amemwambia Herode;si halali kwako kumchukua mke wa ndugu yako.

HOJA YANGU
Yohana alikuwa nabii aliyekuja kumtengenezea njia Bwana Yesu Akibatiza kwa maji.Tena katika mahubiri ya yohana yanamsahihisha Herode kwamba amefanya kosa kumuoa mke wa ndugu yake filipo.Pia tukumbuke wakati binti Herode anacheza,alimvutia mfalme na kumruhu,chochote atakachoomba atampa kama zawadi.Binti akaomba kichwa cha yohana,yohana akakatwa kichwa chake na kupewa binti.

Hoja yangu ni kwamba yohana hakujua mpaka Herode anapata mtoto kupitia huyo mwanamke kwamba mungu amemkubali huyo mtoto?Maana yeremia kabla mtu hajazaliwa mungu anamjua kiasi kwamba hata kumkosoa kwake hakukuwa na maana.Mimi binafsi naona alistahili kuadhibiwa kwa sababu hakutumia maarifa.
Au nyinyi ndugu zangu mnasemaje juu ya hili?

Na ONJO mpenzi wenu.
 
20230504_161106.jpg
 
Yule hakuwa mtoto wa Herode alikuwa binti wa Yule mama , na Yule mama alimtumia ili kurevenge Kwa Yule aliyeingilia penzi lake , huu ni mfano wa akili mbovu ya mwanamke yaani katika jambo jepesi anaweza chukua maamuzi mazito , usishangae mkapishana kidogo nyumbani mwenzako akawaza kukuwekea sumu, hata hvyo Herode alikufa kifo kibaya Sana , Pilato naye baada ya kuruhusu Yesu kusulubiwa japo alijua wazi hakuwa na hatia , baada ya mda alifukuzwa kazi na kaisari , na akiwa katika msongo wa mawazo aliishia kujinyonga , mara nyingi dark side ya mkosaji huwa haiongelewi
 
Kwa wale mlioona jua leo hongereni,zaidi sana.Heri yao walioona jua na kulifanya kuwa makao usiku na mchana.

Najieleza,

Yeremia 1:4 inasema kabla hujazaliwa nilikujua,na baada ya kuzaliwa nilikutakasa.

Yohana 6:18 inasema yohana alikuwa amemwambia Herode;si halali kwako kumchukua mke wa ndugu yako.

HOJA YANGU
Yohana alikuwa nabii aliyekuja kumtengenezea njia Bwana Yesu Akibatiza kwa maji.Tena katika mahubiri ya yohana yanamsahihisha Herode kwamba amefanya kosa kumuoa mke wa ndugu yake filipo.Pia tukumbuke wakati binti Herode anacheza,alimvutia mfalme na kumruhu,chochote atakachoomba atampa kama zawadi.Binti akaomba kichwa cha yohana,yohana akakatwa kichwa chake na kupewa binti.

Hoja yangu ni kwamba yohana hakujua mpaka Herode anapata mtoto kupitia huyo mwanamke kwamba mungu amemkubali huyo mtoto?Maana yeremia kabla mtu hajazaliwa mungu anamjua kiasi kwamba hata kumkosoa kwake hakukuwa na maana.Mimi binafsi naona alistahili kuadhibiwa kwa sababu hakutumia maarifa.
Au nyinyi ndugu zangu mnasemaje juu ya hili?

Na ONJO mpenzi wenu.
Mganga hajigangi
 
Kwa wale mlioona jua leo hongereni,zaidi sana.Heri yao walioona jua na kulifanya kuwa makao usiku na mchana.

Najieleza,

Yeremia 1:4 inasema kabla hujazaliwa nilikujua,na baada ya kuzaliwa nilikutakasa.

Yohana 6:18 inasema yohana alikuwa amemwambia Herode;si halali kwako kumchukua mke wa ndugu yako.

HOJA YANGU
Yohana alikuwa nabii aliyekuja kumtengenezea njia Bwana Yesu Akibatiza kwa maji.Tena katika mahubiri ya yohana yanamsahihisha Herode kwamba amefanya kosa kumuoa mke wa ndugu yake filipo.Pia tukumbuke wakati binti Herode anacheza,alimvutia mfalme na kumruhu,chochote atakachoomba atampa kama zawadi.Binti akaomba kichwa cha yohana,yohana akakatwa kichwa chake na kupewa binti.

Hoja yangu ni kwamba yohana hakujua mpaka Herode anapata mtoto kupitia huyo mwanamke kwamba mungu amemkubali huyo mtoto?Maana yeremia kabla mtu hajazaliwa mungu anamjua kiasi kwamba hata kumkosoa kwake hakukuwa na maana.Mimi binafsi naona alistahili kuadhibiwa kwa sababu hakutumia maarifa.
Au nyinyi ndugu zangu mnasemaje juu ya hili?

Na ONJO mpenzi wenu.
Una ufinyu wa kujua maandiko.
Unataka kusema hata kubaka na matokeo ya kupata mimba kwa mbakaji ni sahihi kwasababu imeandikwa katika huo mstari?

Au je watu wasiambiwe dhambi zao?
Herode hakumuua Yohana kwa utashi wake, bali mkewe ndiye aliyemshawishi binti yake aombe kichwa cha Yohana ili kulipa kisasi cha Yohana kuhatarisha ndoa yake.

Kwanini Herode hakupinga?
Mfalme au mtawala wa nyakati zile hakupaswa kuwa na ndimi mbili au kumeza maneno yake...ingemwondolea heahima yake.

Kwanini Yesu au Mungu hakumsaidia Yohana?

Kazi yake ya kumtambulisha Yesu ilishakwisha.
Angebaki hai ingewachanganya wafuasi wao kwani nguvu zao zilikaribiana
 
Una ufinyu wa kujua maandiko.
Unataka kusema hata kubaka na matokeo ya kupata mimba kwa mbakaji ni sahihi kwasababu imeandikwa katika huo mstari?

Au je watu wasiambiwe dhambi zao?
Herode hakumuua Yohana kwa utashi wake, bali mkewe ndiye aliyemshawishi binti yake aombe kichwa cha Yohana ili kulipa kisasi cha Yohana kuhatarisha ndoa yake.

Kwanini Herode hakupinga?
Mfalme au mtawala wa nyakati zile hakupaswa kuwa na ndimi mbili au kumeza maneno yake...ingemwondolea heahima yake.

Kwanini Yesu au Mungu hakumsaidia Yohana?

Kazi yake ya kumtambulisha Yesu ilishakwisha.
Angebaki hai ingewachanganya wafuasi wao kwani nguvu zao zilikaribiana
ndio tusiwahi kuhukumu tuangalie na matokeo ya dhambi zenyewe maana imeandikwa usihukumu.Sasa twawezaje kusema mtu ana dhambi ya kuzini wakati mungu amempa huyo mtoto pumzi ya uhai.
 
ndio tusiwahi kuhukumu tuangalie na matokeo ya dhambi zenyewe maana imeandikwa usihukumu.Sasa twawezaje kusema mtu ana dhambi ya kuzini wakati mungu amempa huyo mtoto pumzi ya uhai.
Kila kitu kina misingi na taratibu zake, ikiwa wewe ni mfuasi wa jamii flani sharti ufuate miiko yake ili uendelee kuwa mwanachama hai.
Ukikiuka miiko na taratibubya imani au jamii flani moja kwa moja unajipatia hatia au u mkosaji
 
Back
Top Bottom