mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
Mwenyezi Mungu aliwaelekeza mara moja kwa mwaka Waisrael wakutane katika mkutaniko na familia zao kupatana nae.
Hii ilikuwa ni Siku ya kusameheana.
Ilikuwa ni Siku ya kuanza upya na Mungu wao.
Wayahudi walisafiri popote walipokuwa duniani na kurudi kwao kwa ajili ya tukio hilo.
Siku hiyo iliambatana na ibada na kafara.
MATOKEO
Familia na taifa lilikuwa imara kuliko kabla.
Waliokuwa wamerudi nyuma na kusahau asili yao walirejezwa.
Waliokuwa wazembe waliweka maagano ya kuanza upya kwa nguvu.
Waliopoteza ndugu zao siku nyingi walitiwa motisha walipopokea habari za maendeleo na mafanikio yao.
WACHAGA ndio kabila pekee kwa Afrika mashariki kama sio afrika lenye huu utamaduni. Kinaweza kuonakena ni kidogo lakini impact yake naamini ndio imelififanya kabila hili kuwa imara Afrika licha ya udogo wa eneo lilnalotokea.
Naamini babu wa mababu wa Kichaga aliiga Ritual hii kutoka kwa waisrael. Ikumbukwe Imetabiriwa Katika Biblia (Isaya )mkoa huu wa kilimanjaro wenye mlima mrefu utatoa watu hodari.
Familia na makabila huu utamaduni ni mwema sana, LAzima familia zikae zijitafakari na Mungu wao, wanakosea wapi na warekebishe wapi.
Taadhari tukio hili ili lilete matokeo yatakayokufanya usimame imara mbele za Mungu siku ya kiyama, Usielekeze ibada kwa wazee, na miti, sanamu na kafara. Ambatanisha Sherehe za tukio hili na ibada kwa Mungu ambaye zamani tulidhani ni Miti ila siku hizi tumeelewa ni yule tunayefundishwa kwenye vitabu vitakatifu.
ni hayo tu.
Muebrania
Mitale na Midimu.
Hii ilikuwa ni Siku ya kusameheana.
Ilikuwa ni Siku ya kuanza upya na Mungu wao.
Wayahudi walisafiri popote walipokuwa duniani na kurudi kwao kwa ajili ya tukio hilo.
Siku hiyo iliambatana na ibada na kafara.
MATOKEO
Familia na taifa lilikuwa imara kuliko kabla.
Waliokuwa wamerudi nyuma na kusahau asili yao walirejezwa.
Waliokuwa wazembe waliweka maagano ya kuanza upya kwa nguvu.
Waliopoteza ndugu zao siku nyingi walitiwa motisha walipopokea habari za maendeleo na mafanikio yao.
WACHAGA ndio kabila pekee kwa Afrika mashariki kama sio afrika lenye huu utamaduni. Kinaweza kuonakena ni kidogo lakini impact yake naamini ndio imelififanya kabila hili kuwa imara Afrika licha ya udogo wa eneo lilnalotokea.
Naamini babu wa mababu wa Kichaga aliiga Ritual hii kutoka kwa waisrael. Ikumbukwe Imetabiriwa Katika Biblia (Isaya )mkoa huu wa kilimanjaro wenye mlima mrefu utatoa watu hodari.
Familia na makabila huu utamaduni ni mwema sana, LAzima familia zikae zijitafakari na Mungu wao, wanakosea wapi na warekebishe wapi.
Taadhari tukio hili ili lilete matokeo yatakayokufanya usimame imara mbele za Mungu siku ya kiyama, Usielekeze ibada kwa wazee, na miti, sanamu na kafara. Ambatanisha Sherehe za tukio hili na ibada kwa Mungu ambaye zamani tulidhani ni Miti ila siku hizi tumeelewa ni yule tunayefundishwa kwenye vitabu vitakatifu.
ni hayo tu.
Muebrania
Mitale na Midimu.