TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

binadamu unafiki umewazidi sana leo hii Le Mutuz ameaibishwa mitandaoni ni nani anamfariji na kumtia moyo zaidi ya kumcheka tu?...acheni unafiki rafiki yako ukisikia aibu zake hautamsaidia zaidi ya kumcheka akijiua ndio mnaleta unafiki wa kumuonea huruma unafiki mtupu
Unauhakika gani kama Le mutuz hajasaidiwa kisaikolojia?

Ila nmetoa ushaur hapo juu,ukifaa chukua ,utakusaidia mkuu.

NB: Mtu kuwa mbea Kujua kinacho sumbua akili yako,BILA kuambiwa na yeye mwenyew ni NGUMUUUUU.
Ila mganga hatafut mgonjwa .
Karibu
 
WanaJF tupunguze jazba
Kwanza hizi taarifa ni za upande mmoja, hakuna hata mmoja wetu aliyesikia upande wa pili kwa hiyo tuweka maneno makali akiba ya baadaye.

Pili kwa anayeijua ndoa vizuri, angeweka akiba ya maneno. Mwanamke sio wa kumlaumu kabisa hata kama ana makosa. Changamoto za ndoa hata siku moja haziwezi kunifanya mimi mwanaume niondoe roho yangu. Nakabiliana na changamoto hizo na ndio ndoa halisi na ndio maisha halisi. Dunaiani hakuna mteremko
Yeye kilichomuumiza ni kujuwa mwanaume anayetoka na mkewe.
 
Unauhakika gani kama Le mutuz hajasaidiwa kisaikolojia?

Ila nmetoa ushaur hapo juu,ukifaa chukua ,utakusaidia mkuu.

NB: Mtu kuwa mbea Kujua kinacho sumbua akili yako,BILA kuambiwa na yeye mwenyew ni NGUMUUUUU.
Ila mganga hatafut mgonjwa .
Karibu
nani amemsaidia watu wote mitandaoni mnamcheka huku......mnasubiri ajiue muonyeshe huruma wanafiki wakubwa nyie!
 
Apumzike kwa amani. Ila sisi wanawake jamani.
Huyo mwanaume nae ni mbinafsi unajiua unaacha watoto. Sasa akijiua ndo Eng hataacha kumla mke wake au? Wanawake tulivyo wengi si angejichagulia mmoja wake amkomeshe mke wake na yeye.
We !! we!! we!! unawajua hawa ndugu vizuri? akiamua kubadilika anakuwa kama nyati. Kuondoka hataki anakuwa kama gundi ni kukunyanyasa tuu staili apendayo yeye
 
Mungu amlaze alipojiandalia.
Ajabu Sana Mke mzinzi na mlevi

Yeye ambae ndio mtu makini ambae alitakiwa awaangalie vizuri watoto ndio anajiua bila kujua kua anaenda kuwatesa watoto.

Wanaume lazima tuwe na roho za kiuanaume nazo ni kupambana na kila aina ya changamoto tunazokutana nazo.
 
Unaweza kukuta marahemu aliona msg jamaa akisifia marinda ya mkewe matamu wakat yeye hajawahi hata kuyagusa...huyo mwanamke anaonekana kala chmvi sn.


Watu hawa ambao wanakuwaga wapole huwa wanaenda kubeba magubegube mara nyingi
Pic yake iko wap
 
Zaidi ya mama mzazi mwanamke yoyote simuamini...ndo maana mm sitaki kuoa maana naweza kugawana majengo ya serikali na mtu..Mungu Akulaze Unapostahili Brother
 
We !! we!! we!! unawajua hawa ndugu vizuri? akiamua kubadilika anakuwa kama nyati. Kuondoka hataki anakuwa kama gundi ni kukunyanyasa tuu staili apendayo yeye
Alijua anapendwa ndo maana aliamua kumtesa mume wake. Mwenzie kaenda na yeye hatakua na furaha tena.
 
nani amemsaidia watu wote mitandaoni mnamcheka huku......mnasubiri ajiue muonyeshe huruma wanafiki wakubwa nyie!
Msaidie wew mkuu,Huenda una msaada WA KIPEKEE kuliko wote,na huenda NDIO utakao msaidia..


Watu wakiandika comment za upupu,umbea na unafiki au kucheka wew, USI SOME WALA KU REPLY,Bali NENDA KAMSAIDIE PART YAKO .
Karibu
 
Ndiku alikufa kwa depression(sononeko) alikua anampenda mke wake sana kama ulimfuatilia kuna kipindi alikua anaandika vitu vya ajabu kumlalamikia Irene Insta na akina Wolper wakamtukana sana
dah s sad..!!ila hawa wanawake kuna namna ya kwenda nao ili usiumie..!!la sivyo!!
 
Back
Top Bottom