TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

Jamaa ni mbinafsi sana..ujiue uache watoto wako makusudi kabisa kisa papuchi?
 

Kule Ntwara wanasema yamenkuta mambo.
 


bora wewe mumeo mchoyo shoga !mie wangu binafsi had nahis uzeen atakuwa mchawi ! anaweza kukuambia dah nimechoka kukaa sehem moja nataman kwenda hata mbeya nikakae hata week moja !nami najibu aisee ni kweli !hanunui kitu kwaajili yako utajijua na mshahara wako !akiishiwa nanataka na ww uishiwe muwe levels!sasa ww nengeneka ajue una hela utaaajuuuta !utanuniwa !utasimangwa!uwiiii!
ila ukishamjulia haina shida ! huyo naye wakutonunua hata msos mhhh !inakera!ptu
 
Jamaa inasemekana mwanamke alimtolea mahali ila alikuwa anachukuliwa na madingi, ni kama aliolewa ila kama alifunga ndoa labda walipoamia Mbeya. Huku ukumbi ulilipwa gaza sinza na shughuli haikufanyika.


hiyo ambayo ndoa haikufanyika kipindi hicho hakuwa yona anamiliki dude, binti alitakaga kuolewa na jamaa flani hivi alikuwa anafanya mgodini, sijui nani akamtonya jamaa kuwa mwanamke ni Malaya, ndoa haikufungwa. Naona baada ya mda kidogo Yona ndo akajibebea na walifunga ndoa ya serikalini kisirisiri kabla binti hajaenda masomoni nje ya nchi
 
Jamani wacha nionekane mjinga kwa kuoa darasa la saba mwenzangu jamani hawa wanawake waliosoma wenye elimu zao nawaogopa sana kuwatumia katika jambo kubwa sana kama ndoa
Weee weee kuna mtu namjua ameowa hiyo std 7 anamsumbua hadi akikusinulia analia tuu.Kaka ni msomi amebaki kwenda kusoma nje akimaliza course hiii anaomba nyingine.Sasa yupo India huko baada ya kutoka uholanzi.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja nikucheke tu jiombee wewe na kizazi chako kwanza

Kasome biblia na maanguko ya wateule wa Mungu Halafu ndo uje tubishane acha kushupaza shingo hiyo

Tusaidieni basi kumuangusha huyu!
 

Ooh kumbe nae alikataliwa kama alivyomkataa mwenzie? Kweli chozi la mwanamke halijawahi kumuacha mtu salama [emoji23]
 
Mkuu punguza hasira hembu tuambie mazingira yalikuaje,watu wakisemaje huko msibani
Haakuna mtu aliyekuwa na mpango na huyo mchepuko mwandamizi aliyepata mwnaume aliyempenda hadi kumsababishia mauti...alisaliti asijione yuko salama maana usaliti ni kama kula nyama ya mtu...aliliwa akaonekana mtamu kwa kuwa alikuwa kwa mtu, sasa ataonekana wa kawaida na Lossy alokuwa anamtumia atatafuta chombo kipya so atabaki kama kopo cha chooni ambalo kila mtu yuko huru kuchambia!
 
Pole Yona...Sijajua kwanini Pasco Haongeli kuhusu Huyu Jamaa, MUNGU amjalie huko alipo..hatuwezi kuhukumu mtu ila kuna mambo alitufanyia yameathiri maisha yetu hadi leo..hapa JF alikua anaitwa Shy..ila MUNGU Atamhukumu kama sisi wengine..bro uliniachia maumivu sitakaa niyasahau...mpaka leo kwa tukio ulilonifanyia..ningekua mjinga ningejiua...ila nashkuru sikukupa hela uliyoitaka..na damage done...ila MUNGU akurehemu na akusamehe dhami zako na ulale pema peponi nilishasamehege
 

Mungu kama kakuumba mrefu mshukuru Mungu
binadamu tunaumbwa na Mungu hatuumbwi na mwanadamu mwenzetu au hatujiumbi
 
Maishapopote alifanya nini? Sio vibaya tukajifunza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…