TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

Thats all he had...aliwahi kuandika story ya huyu binti kwa maana ya story kule bidii zamani sana
Napinga sana kitendo cha mwanaume kujiua sababu ya mwanamke. Hakuna sababu yoyote ile inayohalalisha kujitoa uhai chini ya jua, achilia mbali eti "mwanamke"! Nikisikia eti mtu amejitoa uhai wake sababu mkewe anatembea na mwanaume mwingine huwa nakereka sana, tena sana. Lakini ndiyo hivyo tena, kila mtu na akili zake kichwani.

Kwa wale ambao hawajajiua bado, wakae wakijua kuwa unapojiua unakuwa unakufa huku ukitenda dhambi ya kuua. Matokeo yake ni kwamba siku ya mwisho wa dunia, moja kwa moja utahukumiwa kwa kuua. Mtu anayejiua hapati hata nafasi ya kutubu maovu yake sababu huwezi kutubu wakati upo kwenye mchakato wa kutenda dhambi nyingine. Mtu anayejiua anakuwa anajikatia tiketi ya moja kwa moja kwenda Jehanamu ya moto siku ile MESSIAH atakaporudi tena.
 
Ni majonzi sana kupata habari hizi.

Ni vigumu sana kuelewa, mtu ambaye alikuwa na moyo wa uchunguzi kwa nia ya kutatua matatizo, anawezaje kuishia hivi.

Na Yona alikuwa na bidii, kama kundi lake lilivyoitwa. Kuna mambo mengi sana technical alikuwa anaandika, unaona kabisa huyu mtu kafanya kazi ya kujifunza mpaka kuandika hivi.

Mioyo ya watu ina siri nyingi na kurukia kuhukumu si vyema.

Ila nimekumbuka kitambo, wakati JF ilipokuwa na ari ya kushirikiana zaidi, kujuzana zaidi, kuelimishana zaidi,Yona alikuwa kiungo muhimu katika kuchavusha maenezo ya elimu, hasa ya mambo ya mtandao na usalama.

Pumzika kwa amani.

Kiranga Cha Ngeda Sakala Kandumbwa..
 
MKUU mke wake huyo mhandisi alihudhuria kuzika? Tupe tu mrejesho alivyokuwa msibani.
 
Alikufanyage mkuu ila naye si alimkimbia mwanamke waliyezaa naye
 
Nimekuelewa mkuu
 
Kweli Ego is the enemy...when you think you are on top of the world, you expose yourself..and collapse as a result
 

Say it all..say it loud and clear....Maana kuna side mbili za coin. As usual
 
Mbele yake Nyuma yetu.

Poleni sana Watu wake wa karibu pamoja na Familia yake kwa Ujumla
 
Until we take our final breath you will live in our heart, your love will light our way. Your memory will forever be with us. Every step we take, every move we make, every single day and every time we'll be missing you!

R.I.P brother!!
Mkuu
Hiv Haya maneno huwa tunamfarij marehem, mfiwa au sisi wnyw watamkaj???
Au yana chembe yyte ukwel??????
 
mganga hajigangi ati
 
doh kumbe
 
ni kwel unajua hata ukiangalia sura yake kimuonekano utagundua jamaa alikuwa mpole sana na huenda alikuwa mtu wa kuweka vitu moyoni!!R.I.P
mnanitisha mana my man na yeye ni mpole mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…