Yondo Sister yupo hai? Naombeni historia yake

Yondo Sister yupo hai? Naombeni historia yake

isaya mwasetuka

Senior Member
Joined
Feb 17, 2013
Posts
101
Reaction score
23
jaman nimekuwa na mkanganyiko kutokana na historia ya mwanamziki yondo sister wengine wanasema alishakufa wengine yupo hai du nashindwa kuelewa wajama naomba mnisaidie historia nzima ya yondo sister.ahsanten
 
Yondo Sister hajafa.
Bado yuko hai na mtoto wake yule mmoja na pekee wa kike tunakaa nae huku Kinondoni Manyanya.
Jumapili iliyopita alikuja kumtembelea mwanae, ila amezeeka zeeka.

yuko nchi gan uyu mwanamama mauno wa enzi hzo!...afu madame umeadimika kule kwe2 ukubwani!
 
yuko nchi gan uyu mwanamama mauno wa enzi hzo!...afu madame umeadimika kule kwe2 ukubwani!

Ufaransa, wiki tatu nyuma, Zuberi Msabaha wa Radio Free Africa aliongea nae saa4 usiku kwenye kipindi cha Bolingo Time. Kusala(Yondo Sister) alieleza kuwa anaishi Ufaransa, mambo ya watoto na ndoa alikataa akidai kuwa hapendi kudisclose mambo yake ya kifamilia. Kihistoria anasema babu yake ni Mbelgiji kabisa hivyo ni yeye ni halfcast. Alipoulizwa wanamuziki wenzie wa iliyokuwa Soukouss Stars wako wapi na wanafanya nini, nilishangaa aliposema: Balou Canta, Ngouma Lokito, Dally Kimoko, Shimita na wengine bado wako France na wanapiga music na akijibu kuwa mashabiki wa Africa Mashariki, akipatikana mdhamini wako tayari kuja. Alipoulizwa kwa nini anazungumza Kiswahili fasaha alidai KIDOGO TU. Kwa hiyo yupo hai. Ukitaka kumwona mtoto wake Yondo, utamwona kwenye album yake Yondo( Siyo na Soukouss Stars). Album hii ina nyimbo kama: Madi, Africa, Derniere Minute n.k. Huyo binti kafanana nae sana Yondo Sister kwa wakati huo alikuwa ni mnenguaji. Nenda You Tube halafu search: Yondo Sister- MADI, ni wimbo ambao utagundua Dally Kimoko ni mchawi wa Guitar/gitaa.
 
Ufaransa, wiki tatu nyuma, Zuberi Msabaha wa Radio Free Africa aliongea nae saa4 usiku kwenye kipindi cha Bolingo Time. Kusala(Yondo Sister) alieleza kuwa anaishi Ufaransa, mambo ya watoto na ndoa alikataa akidai kuwa hapendi kudisclose mambo yake ya kifamilia. Kihistoria anasema babu yake ni Mbelgiji kabisa hivyo ni yeye ni halfcast. Alipoulizwa wanamuziki wenzie wa iliyokuwa Soukouss Stars wako wapi na wanafanya nini, nilishangaa aliposema: Balou Canta, Ngouma Lokito, Dally Kimoko, Shimita na wengine bado wako France na wanapiga music na akijibu kuwa mashabiki wa Africa Mashariki, akipatikana mdhamini wako tayari kuja. Alipoulizwa kwa nini anazungumza Kiswahili fasaha alidai KIDOGO TU. Kwa hiyo yupo hai. Ukitaka kumwona mtoto wake Yondo, utamwona kwenye album yake Yondo( Siyo na Soukouss Stars). Album hii ina nyimbo kama: Madi, Africa, Derniere Minute n.k. Huyo binti kafanana nae sana Yondo Sister kwa wakati huo alikuwa ni mnenguaji. Nenda You Tube halafu search: Yondo Sister- MADI, ni wimbo ambao utagundua Dally Kimoko ni mchawi wa Guitar/gitaa.

Mkuu umewekeza huko CONGO!
 
yupo hai mkuu. zamani ndio walivumisha amekufa si unajua wabongo
 
Ufaransa, wiki tatu nyuma, Zuberi Msabaha wa Radio Free Africa aliongea nae saa4 usiku kwenye kipindi cha Bolingo Time. Kusala(Yondo Sister) alieleza kuwa anaishi Ufaransa, mambo ya watoto na ndoa alikataa akidai kuwa hapendi kudisclose mambo yake ya kifamilia. Kihistoria anasema babu yake ni Mbelgiji kabisa hivyo ni yeye ni halfcast. Alipoulizwa wanamuziki wenzie wa iliyokuwa Soukouss Stars wako wapi na wanafanya nini, nilishangaa aliposema: Balou Canta, Ngouma Lokito, Dally Kimoko, Shimita na wengine bado wako France na wanapiga music na akijibu kuwa mashabiki wa Africa Mashariki, akipatikana mdhamini wako tayari kuja. Alipoulizwa kwa nini anazungumza Kiswahili fasaha alidai KIDOGO TU. Kwa hiyo yupo hai. Ukitaka kumwona mtoto wake Yondo, utamwona kwenye album yake Yondo( Siyo na Soukouss Stars). Album hii ina nyimbo kama: Madi, Africa, Derniere Minute n.k. Huyo binti kafanana nae sana Yondo Sister kwa wakati huo alikuwa ni mnenguaji. Nenda You Tube halafu search: Yondo Sister- MADI, ni wimbo ambao utagundua Dally Kimoko ni mchawi wa Guitar/gitaa.
Chaza naomba urafiki.
 
Yondo Sister hajafa.
Bado yuko hai na mtoto wake yule mmoja na pekee wa kike tunakaa nae huku Kinondoni Manyanya.
Jumapili iliyopita alikuja kumtembelea mwanae, ila amezeeka zeeka.

Kwa fix sikuwezi :A S 39:
 
Ufaransa, wiki tatu nyuma, Zuberi Msabaha wa Radio Free Africa aliongea nae saa4 usiku kwenye kipindi cha Bolingo Time. Kusala(Yondo Sister) alieleza kuwa anaishi Ufaransa, mambo ya watoto na ndoa alikataa akidai kuwa hapendi kudisclose mambo yake ya kifamilia. Kihistoria anasema babu yake ni Mbelgiji kabisa hivyo ni yeye ni halfcast. Alipoulizwa wanamuziki wenzie wa iliyokuwa Soukouss Stars wako wapi na wanafanya nini, nilishangaa aliposema: Balou Canta, Ngouma Lokito, Dally Kimoko, Shimita na wengine bado wako France na wanapiga music na akijibu kuwa mashabiki wa Africa Mashariki, akipatikana mdhamini wako tayari kuja. Alipoulizwa kwa nini anazungumza Kiswahili fasaha alidai KIDOGO TU. Kwa hiyo yupo hai. Ukitaka kumwona mtoto wake Yondo, utamwona kwenye album yake Yondo( Siyo na Soukouss Stars). Album hii ina nyimbo kama: Madi, Africa, Derniere Minute n.k. Huyo binti kafanana nae sana Yondo Sister kwa wakati huo alikuwa ni mnenguaji. Nenda You Tube halafu search: Yondo Sister- MADI, ni wimbo ambao utagundua Dally Kimoko ni mchawi wa Guitar/gitaa.

Mkuu upo fit kwenye mayenu ya kilingala
 
Mkuu umewekeza huko CONGO!

Hapana, sijawekeza. Unajua miaka ile ya 1996 kurudi nyuma kiukweli muziki wa dansi Tanzania( vijana jazz, ddc mlimani park, bimalee, washirika, ottu/juwata-msondo, maquis, na bendi nyingine) zilikuwa peak sana kimuzingi, na kwa kweli wakongo nao wakikuwa ni moto wa kuotea mbali kimuziki, Bongo flavor haikuwepo, kwa hiyo mpango mzima ilikuwa ni muzik wa dansi toka Tanzania au Zaire( Congo DR ya sasa).
 
Yondo Sister hajafa.
Bado yuko hai na mtoto wake yule mmoja na pekee wa kike tunakaa nae huku Kinondoni Manyanya.
Jumapili iliyopita alikuja kumtembelea mwanae, ila amezeeka zeeka.

Kama Madame B umeongea ukweli mi Nakufa hapa!
 
Last edited by a moderator:
Ufaransa, wiki tatu nyuma, Zuberi Msabaha wa Radio Free Africa aliongea nae saa4 usiku kwenye kipindi cha Bolingo Time. Kusala(Yondo Sister) alieleza kuwa anaishi Ufaransa, mambo ya watoto na ndoa alikataa akidai kuwa hapendi kudisclose mambo yake ya kifamilia. Kihistoria anasema babu yake ni Mbelgiji kabisa hivyo ni yeye ni halfcast. Alipoulizwa wanamuziki wenzie wa iliyokuwa Soukouss Stars wako wapi na wanafanya nini, nilishangaa aliposema: Balou Canta, Ngouma Lokito, Dally Kimoko, Shimita na wengine bado wako France na wanapiga music na akijibu kuwa mashabiki wa Africa Mashariki, akipatikana mdhamini wako tayari kuja. Alipoulizwa kwa nini anazungumza Kiswahili fasaha alidai KIDOGO TU. Kwa hiyo yupo hai. Ukitaka kumwona mtoto wake Yondo, utamwona kwenye album yake Yondo( Siyo na Soukouss Stars). Album hii ina nyimbo kama: Madi, Africa, Derniere Minute n.k. Huyo binti kafanana nae sana Yondo Sister kwa wakati huo alikuwa ni mnenguaji. Nenda You Tube halafu search: Yondo Sister- MADI, ni wimbo ambao utagundua Dally Kimoko ni mchawi wa Guitar/gitaa.

Namkubali huyo jamaa, hata katika wimbo Wapi Yo ameufanyia heshima ya aina yake lakini Diblo Dibala ni mchawi halisi wa Guitar. Ukisikiliza/ukiangali kibao cha Matchatcha Laisser Paisser
 
Ufaransa, wiki tatu nyuma, Zuberi Msabaha wa Radio Free Africa aliongea nae saa4 usiku kwenye kipindi cha Bolingo Time. Kusala(Yondo Sister) alieleza kuwa anaishi Ufaransa, mambo ya watoto na ndoa alikataa akidai kuwa hapendi kudisclose mambo yake ya kifamilia. Kihistoria anasema babu yake ni Mbelgiji kabisa hivyo ni yeye ni halfcast. Alipoulizwa wanamuziki wenzie wa iliyokuwa Soukouss Stars wako wapi na wanafanya nini, nilishangaa aliposema: Balou Canta, Ngouma Lokito, Dally Kimoko, Shimita na wengine bado wako France na wanapiga music na akijibu kuwa mashabiki wa Africa Mashariki, akipatikana mdhamini wako tayari kuja. Alipoulizwa kwa nini anazungumza Kiswahili fasaha alidai KIDOGO TU. Kwa hiyo yupo hai. Ukitaka kumwona mtoto wake Yondo, utamwona kwenye album yake Yondo( Siyo na Soukouss Stars). Album hii ina nyimbo kama: Madi, Africa, Derniere Minute n.k. Huyo binti kafanana nae sana Yondo Sister kwa wakati huo alikuwa ni mnenguaji. Nenda You Tube halafu search: Yondo Sister- MADI, ni wimbo ambao utagundua Dally Kimoko ni mchawi wa Guitar/gitaa.


Merci!!!!!!!!.
 
Namkubali huyo jamaa, hata katika wimbo Wapi Yo ameufanyia heshima ya aina yake lakini Diblo Dibala ni mchawi halisi ya Guitar. Ukisikiliza/ukiangali kibao cha Matchatcha Laisser Paisser

Hatari kaka!
 
Back
Top Bottom