Yondo Sister yupo hai? Naombeni historia yake

Yondo Sister yupo hai? Naombeni historia yake

Kumfananisha Le Legend Diblo Dibala na Bwana Mdogo Dally Kimoko ( Dalikike au Gitare Ezanga Likwanza ) ni Sawa na Kufananisha Scania na Vitz! Gitaa la Dally Linasisimua ila Gitaa la Diblo Linatekenya na Kuburudisha Mpaka Ndege wa Mtini Hurukaruka. Ila Kwa Sasa Hao Wote Wamepotezwa Vibaya Sana na Vichwa Hivi Vitatu Vya Congo DRC Ambapo wa Kwanza ni Kijana Machachari wa Kundi Zima La Wenge Musica BCBG Chini Yake De la Patria Papa Chere JB Mpiana ( Bon Chic Bon Genre ) ikimaanisha Wazuri wa Sura na Wanaojua Kuvaa Aitwae Schevchenko Patou Solo huku Wa Pili Akiwa ni Kijana Mwingine wa Kundi Zima La Wenge Musica MM Chini Yake Le Roi De la Foree Werrason Ngiama Makanda ( Maison Mere ) ikimaanisha Nyumba Ya Mama Aitwae Flam Mwenie Kapaya na Wa Mwisho ni Kijana wa Kundi Zima La Quarter Latin Chini Yake Le Grand Mopao Le Maximone Large Degaire Koffi Olomide Aitwae Felly Tysone De ba Forme WAKATI Congo Brazaville Kuna Vichwa Viwili tu Kimoja Kinaitwa Cain Madoka Huyu Ukitaka Uijue Habari Yake Sikiliza Albam Ya Aurlus Mabele iitwayo Generation Wachiwa na Mpaka Album za Sasa Zote za Mabele Solo Kapiga huyo Dogo na Mtaalam Wa Mwisho ambaye hata Akina Diblo na Dally Wamemnyooshea Mikono ni Ibambi Ikombi Wengi Mnamjua Kama Roga Roga La Liberateur wa Kundi Zima La Extra Musica BPBL ( Bon Pied Bon Look ) ikimaanisha Wenye Mvuto wa Kimuonekano na Ukitaka Upate Habari Nzima Ya Roga Roga Sikiliza Album Hizi: Losambo, Etat Major, Shalai, Trosep Trop na Latest Album Yao iitwayo KINDOKI Ikimaanisha UCHAWI! Kwa Sasa Extra Musica Zimegawanyika ambapo Sasa Kuna Extra Musica Zangul iliyo Chini Ya Roga Roga na Ambaye ndiyo Le Orchestre President na Extra Musica International iliyo Chini Ya Fredy Nelson na Yule Repa Wao Kiboko Aitwae Mazikou Gislain ( Killa Mbongo ). Kila la Kheri!
 
Kumfananisha Le Legend Diblo Dibala na Bwana Mdogo Dally Kimoko ( Dalikike au Gitare Ezanga Likwanza ) ni Sawa na Kufananisha Scania na Vitz! Gitaa la Dally Linasisimua ila Gitaa la Diblo Linatekenya na Kuburudisha Mpaka Ndege wa Mtini Hurukaruka. Ila Kwa Sasa Hao Wote Wamepotezwa Vibaya Sana na Vichwa Hivi Vitatu Vya Congo DRC Ambapo wa Kwanza ni Kijana Machachari wa Kundi Zima La Wenge Musica BCBG Chini Yake De la Patria Papa Chere JB Mpiana ( Bon Chic Bon Genre ) ikimaanisha Wazuri wa Sura na Wanaojua Kuvaa Aitwae Schevchenko Patou Solo huku Wa Pili Akiwa ni Kijana Mwingine wa Kundi Zima La Wenge Musica MM Chini Yake Le Roi De la Foree Werrason Ngiama Makanda ( Maison Mere ) ikimaanisha Nyumba Ya Mama Aitwae Flam Mwenie Kapaya na Wa Mwisho ni Kijana wa Kundi Zima La Quarter Latin Chini Yake Le Grand Mopao Le Maximone Large Degaire Koffi Olomide Aitwae Felly Tysone De ba Forme WAKATI Congo Brazaville Kuna Vichwa Viwili tu Kimoja Kinaitwa Cain Madoka Huyu Ukitaka Uijue Habari Yake Sikiliza Albam Ya Aurlus Mabele iitwayo Generation Wachiwa na Mpaka Album za Sasa Zote za Mabele Solo Kapiga huyo Dogo na Mtaalam Wa Mwisho ambaye hata Akina Diblo na Dally Wamemnyooshea Mikono ni Ibambi Ikombi Wengi Mnamjua Kama Roga Roga La Liberateur wa Kundi Zima La Extra Musica BPBL ( Bon Pied Bon Look ) ikimaanisha Wenye Mvuto wa Kimuonekano na Ukitaka Upate Habari Nzima Ya Roga Roga Sikiliza Album Hizi: Losambo, Etat Major, Shalai, Trosep Trop na Latest Album Yao iitwayo KINDOKI Ikimaanisha UCHAWI! Kwa Sasa Extra Musica Zimegawanyika ambapo Sasa Kuna Extra Musica Zangul iliyo Chini Ya Roga Roga na Ambaye ndiyo Le Orchestre President na Extra Musica International iliyo Chini Ya Fredy Nelson na Yule Repa Wao Kiboko Aitwae Mazikou Gislain ( Killa Mbongo ). Kila la Kheri!

Ya, hawa wote ni wazuri, ila ni wa kizazi hiki cha miaka ya tisini mwishoni kuja miaka hii ya elfu2. Wale hasa niliowataja ni generation ya nusu ya pili ya miaka ya tisini kurudi nyuma. Utakubaliana na mimi kuwa wakati ule Soukouss Stars inatamba Wenge hawa walikuwepo na vibao vyao vya mwanzo, vilikuwa vizuri, ila walizidiwa nguvu. Wakongwe walipofifia ndo wakaja Wenge BCBG( na kidogo Wenge el Paris) kabla ya kuja WengeMaison Mere, Extra Musica, G7 na wengine ambao inatajwa ni generation ya nne ya Congolese Music. Ile ya wakat ule ilikuwa ni generation ya 3, ingawa mtu kama Koffi amegusa kizaz cha 3 na 4 kwa kiwango kikubwa
 
Kumfananisha Le Legend Diblo Dibala na Bwana Mdogo Dally Kimoko ( Dalikike au Gitare Ezanga Likwanza ) ni Sawa na Kufananisha Scania na Vitz! Gitaa la Dally Linasisimua ila Gitaa la Diblo Linatekenya na Kuburudisha Mpaka Ndege wa Mtini Hurukaruka. Ila Kwa Sasa Hao Wote Wamepotezwa Vibaya Sana na Vichwa Hivi Vitatu Vya Congo DRC Ambapo wa Kwanza ni Kijana Machachari wa Kundi Zima La Wenge Musica BCBG Chini Yake De la Patria Papa Chere JB Mpiana ( Bon Chic Bon Genre ) ikimaanisha Wazuri wa Sura na Wanaojua Kuvaa Aitwae Schevchenko Patou Solo huku Wa Pili Akiwa ni Kijana Mwingine wa Kundi Zima La Wenge Musica MM Chini Yake Le Roi De la Foree Werrason Ngiama Makanda ( Maison Mere ) ikimaanisha Nyumba Ya Mama Aitwae Flam Mwenie Kapaya na Wa Mwisho ni Kijana wa Kundi Zima La Quarter Latin Chini Yake Le Grand Mopao Le Maximone Large Degaire Koffi Olomide Aitwae Felly Tysone De ba Forme WAKATI Congo Brazaville Kuna Vichwa Viwili tu Kimoja Kinaitwa Cain Madoka Huyu Ukitaka Uijue Habari Yake Sikiliza Albam Ya Aurlus Mabele iitwayo Generation Wachiwa na Mpaka Album za Sasa Zote za Mabele Solo Kapiga huyo Dogo na Mtaalam Wa Mwisho ambaye hata Akina Diblo na Dally Wamemnyooshea Mikono ni Ibambi Ikombi Wengi Mnamjua Kama Roga Roga La Liberateur wa Kundi Zima La Extra Musica BPBL ( Bon Pied Bon Look ) ikimaanisha Wenye Mvuto wa Kimuonekano na Ukitaka Upate Habari Nzima Ya Roga Roga Sikiliza Album Hizi: Losambo, Etat Major, Shalai, Trosep Trop na Latest Album Yao iitwayo KINDOKI Ikimaanisha UCHAWI! Kwa Sasa Extra Musica Zimegawanyika ambapo Sasa Kuna Extra Musica Zangul iliyo Chini Ya Roga Roga na Ambaye ndiyo Le Orchestre President na Extra Musica International iliyo Chini Ya Fredy Nelson na Yule Repa Wao Kiboko Aitwae Mazikou Gislain ( Killa Mbongo ). Kila la Kheri!

Mkuu koooote umepatia ila kusema Diblo ni zaidi ya Kimoko sikubaliani na wewe! Angalia kimoko amefanya colabo na wanamuziki wangapi compared to Diblo.
Tukija ktk kizazi kipya there is no doubt Patou Solo anatisha, Framme Kapaya alivyokua WMM alikua moto wa kuotea mbali but kwa sasa hamna kitu,
NB: usiwasahau Kimbagu Solo, Japornaid, nao wanajitahidi
 
Mkuu koooote umepatia ila kusema Diblo ni zaidi ya Kimoko sikubaliani na wewe! Angalia kimoko amefanya colabo na wanamuziki wangapi compared to Diblo.
Tukija ktk kizazi kipya there is no doubt Patou Solo anatisha, Framme Kapaya alivyokua WMM alikua moto wa kuotea mbali but kwa sasa hamna kitu,
NB: usiwasahau Kimbagu Solo, Japornaid, nao wanajitahidi

Kiukweli Dally Kimoko ni mkali dhidi ya Diblo Dibala
 
Aah kaka, najua kiduchu tu kaka. Yondo sister kama nilivyosema, yupo hai. Kimuziki alikuwa na kundi lake na wanenguaji wake. Wapiga gitaa aliowatumia sana kwa kutegemea album walikuwa ni Dally Kimoko na Shimita. Album kubwa za Yondo Sister ni Mbuta Mutu, Bazo na Madi. Muda mwingi alikuwa na kundi la Soukouss Stars hasa ile Album ya Monerita ambayo ilizinduuliwa kule USA miaka ile ya 1995-1996, ambayo ilikuwa na vibao vikali kabisa kama Monerita, Sophia, Rose, Abagimo n.k. Kwa maelezo yake yeye mwenyewe anasema wale magwiji waliounda ile Soukouss Stars wako kule Ufaransa na wako fit kimuziki japo umri umeenda. Kwa kifupi kabisa ndo hayo kaka!

poa nimekusoma mkuu vp amezaliwa lin kaka?
 
umetisha Madame B ,daah cjui hata nisemeje...ila njoo hapa private watu wasi some...nikuulize viswali vichache tuu.
1. Kile kiuno(loketo) chake bado kipo vizuri hata kwa shepu tuu..naaaa la mwisho ni huyo mtoto wake amechukua nini hasa kutoka kwa mama yake? nijibu hapa private .
 
Kumfananisha Le Legend Diblo Dibala na Bwana Mdogo Dally Kimoko ( Dalikike au Gitare Ezanga Likwanza ) ni Sawa na Kufananisha Scania na Vitz! Gitaa la Dally Linasisimua ila Gitaa la Diblo Linatekenya na Kuburudisha Mpaka Ndege wa Mtini Hurukaruka. Ila Kwa Sasa Hao Wote Wamepotezwa Vibaya Sana na Vichwa Hivi Vitatu Vya Congo DRC Ambapo wa Kwanza ni Kijana Machachari wa Kundi Zima La Wenge Musica BCBG Chini Yake De la Patria Papa Chere JB Mpiana ( Bon Chic Bon Genre ) ikimaanisha Wazuri wa Sura na Wanaojua Kuvaa Aitwae Schevchenko Patou Solo huku Wa Pili Akiwa ni Kijana Mwingine wa Kundi Zima La Wenge Musica MM Chini Yake Le Roi De la Foree Werrason Ngiama Makanda ( Maison Mere ) ikimaanisha Nyumba Ya Mama Aitwae Flam Mwenie Kapaya na Wa Mwisho ni Kijana wa Kundi Zima La Quarter Latin Chini Yake Le Grand Mopao Le Maximone Large Degaire Koffi Olomide Aitwae Felly Tysone De ba Forme WAKATI Congo Brazaville Kuna Vichwa Viwili tu Kimoja Kinaitwa Cain Madoka Huyu Ukitaka Uijue Habari Yake Sikiliza Albam Ya Aurlus Mabele iitwayo Generation Wachiwa na Mpaka Album za Sasa Zote za Mabele Solo Kapiga huyo Dogo na Mtaalam Wa Mwisho ambaye hata Akina Diblo na Dally Wamemnyooshea Mikono ni Ibambi Ikombi Wengi Mnamjua Kama Roga Roga La Liberateur wa Kundi Zima La Extra Musica BPBL ( Bon Pied Bon Look ) ikimaanisha Wenye Mvuto wa Kimuonekano na Ukitaka Upate Habari Nzima Ya Roga Roga Sikiliza Album Hizi: Losambo, Etat Major, Shalai, Trosep Trop na Latest Album Yao iitwayo KINDOKI Ikimaanisha UCHAWI! Kwa Sasa Extra Musica Zimegawanyika ambapo Sasa Kuna Extra Musica Zangul iliyo Chini Ya Roga Roga na Ambaye ndiyo Le Orchestre President na Extra Musica International iliyo Chini Ya Fredy Nelson na Yule Repa Wao Kiboko Aitwae Mazikou Gislain ( Killa Mbongo ). Kila la Kheri!
Santeeeee.Na
Nalog off
 
Yondo Sister hajafa.
Bado yuko hai na mtoto wake yule mmoja na pekee wa kike tunakaa nae huku Kinondoni Manyanya.
Jumapili iliyopita alikuja kumtembelea mwanae, ila amezeeka zeeka.

Mh! Kumbe unaishi manyanya! Ila mtoto wa Yondo haishi hapo. Ni wewe na wenzako ndo mnaishi hapo.
 
Mkuu ni African Ball au Extra Ball ambapo guitar limepigwa na Diblo hata amebadilisha guitar mara nyingi. Pia nakumbuka hata Isabelle pia amepiga Diblo. Kusema ukweli hizi Bongo fleva zimakuja kuondoa raha ya Jiji, upuuzi mtupu. Hebu jiridhishe, hii miaka late 80s na mapema 90 nakumbuka vema. Dar ilikuwa raha kipindi hicho siyo karaha kama sasa. Cheki data zako vizuri mkuu. Nadhani Kimoko mamefanya balaa kwenye Embargo, Loketo &Aurlus Mabele au?

Isabelle hata mimi naikubali kinoma.
 
Kiukweli Dally Kimoko ni mkali dhidi ya Diblo Dibala
CHAZA......

Uzuri wa Diblo unadhihirika kwenye nyimbo nyingi.....Naomba nikuwekee hizi mbili hapa chini Tobina, Matchatcha Laisser Passer(ambao kuna sehemu gita linapigwa utafikiri limemwagiwa maji) na Extra Ball.......Kisha nikuombe uweke nyimbo ambazo unadhani Dally Kimoko amemshinda Diblo Dibala......







Mimi naona kwa kizazi chao hakuna anayemfikia Diblo Dibala mkuu wangu....Diblo yupo juu halafu wanamfuatia akina Dally Kimoko, Lokassa Ya Mbongo, Nene Tchakou, Allain Makaba 'Prince' , na Roga Roga (wa Congo Brazaville)......

Ni sawa na useme Gode Lofombo alikuwa ni zaidi ya Ngouma Lokiti katika kulikung'uta gitaa zito la bass.....
 
Last edited by a moderator:
Kwan DIBLO na DALLY KIMOKO nan zaid?
Ufaransa, wiki tatu nyuma, Zuberi Msabaha wa Radio Free Africa aliongea nae saa4 usiku kwenye kipindi cha Bolingo Time. Kusala(Yondo Sister) alieleza kuwa anaishi Ufaransa, mambo ya watoto na ndoa alikataa akidai kuwa hapendi kudisclose mambo yake ya kifamilia. Kihistoria anasema babu yake ni Mbelgiji kabisa hivyo ni yeye ni halfcast. Alipoulizwa wanamuziki wenzie wa iliyokuwa Soukouss Stars wako wapi na wanafanya nini, nilishangaa aliposema: Balou Canta, Ngouma Lokito, Dally Kimoko, Shimita na wengine bado wako France na wanapiga music na akijibu kuwa mashabiki wa Africa Mashariki, akipatikana mdhamini wako tayari kuja. Alipoulizwa kwa nini anazungumza Kiswahili fasaha alidai KIDOGO TU. Kwa hiyo yupo hai. Ukitaka kumwona mtoto wake Yondo, utamwona kwenye album yake Yondo( Siyo na Soukouss Stars). Album hii ina nyimbo kama: Madi, Africa, Derniere Minute n.k. Huyo binti kafanana nae sana Yondo Sister kwa wakati huo alikuwa ni mnenguaji. Nenda You Tube halafu search: Yondo Sister- MADI, ni wimbo ambao utagundua Dally Kimoko ni mchawi wa Guitar/gitaa.
 
Back
Top Bottom