tata mvoni
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 534
- 81
Ghato mzima ila ameokoka anaimba injili!!
kweli mkuu hata mimi nakumbuka.ni enzi zetu zileee za kudanganyana.thanks to whoever invented google....ila mimi napenda kujua alipo mwanamziki GATO.ilivumishwa miaka ile eti alikutwa na madawa ya kulevya na akafungwa.nam google ila info zake ni kama hazipo.