Yondo Sister yupo hai? Naombeni historia yake

Yondo Sister yupo hai? Naombeni historia yake

respect. Nene Tchakou nae ni hatari. nalisikia alishakufa ila sina uhakika. huyu jamaaa ukitaka kuupata utamu wa solo yake tafuta albam zote za Alain Kounkou mzee wa sakayonsa nyimbo kama masapa lyida utamtamtambua nene tchakou ni nani,albam kama 360 volts ilikuwa tishio kwenye ulimwengu wa sokous!
Respect
 
Sio kweli ndg! Ukitaka kujua utundu wa Diblo, sikiliza wimbo wa 'Pon mon bouge' wa Pepe Kalle kapiga yeye. Kama huamini sikiliza album nzima ya Extra Ball ya Kundi zima la Loketo, au ya kwake mwenyewe Diblo inayoitwa 'Laissez Passer'. Ninayo album nzima hiyo, nita upload nikiwa na muda. Dally Kimoko hawezi hata kumzidi Nene Tchakou (kapiga solo kwenye Inde Monie ya Bongoman). Kimoko ni maarufu, ila sio mtundu wa kuchezea nyuzi (free style guitarist)

Ndio maana nikasema mkuu Chaza ana 'mahaba' na Dally Kimoko !
maana lile gitari la umeme la Saladdin na Soukous Star linamtoa jasho Dally Kimoko !
 
Ndio maana nikasema mkuu Chaza ana 'mahaba' na Dally Kimoko !
maana lile gitari la umeme la Saladdin na Soukous Star linamtoa jasho Dally Kimoko !

Mnamo 23/12/2009, bwana Kakuruvi alianzisha thread: Diblo Dibala na Dally Kimoko! Wachangiaji wengi walikubali haya yote ni majembe kwa gitaa. Lakini akichangia thread hiyo 25/12/2009 bwana aitwae Sikonge aliandika maneno haya, nanukuu: 'Kiufundi Diblo Dibala alikuwa akipiga gitaa Kiafrika zaidi yaani nyuzi moja moja, Dally Kimoko alianza kuweka zile sauti za gitaa kama za Rock Musics yaani ufundi wa akina Slash wa Gun N' Roses au mzee Jimmy Hendrix', mwisho wa kunukuu, hapa inaonyesha kuna ladha fulani Dally aliongeza, ijapokuwa kweli Diblo lile Gitaa la kulia kama maji alilopoga na Matchatcha, da siyo mchezo!
 
Yondo Sister hajafa.
Bado yuko hai na mtoto wake yule mmoja na pekee wa kike tunakaa nae huku Kinondoni Manyanya.
Jumapili iliyopita alikuja kumtembelea mwanae, ila amezeeka zeeka.

Mmmh, sawa madame, thanx for info
 
Da nimefurahi sana kaka! Naipenda ile live show ya Zenith1999, ilikuwa bomba sana. Wimbo wa Papito mbala version, ulirefushwa na kuwekewa manjonjo( nadhani ni show ya olympio) kwa ubunifu wa sauti JB ni mtambo na ndo maana alifanya kazi hadi kumnasa Jules Kibenga/ Kibens. Kwenye wimbo wa Moh'd Kanyasi aliimba vizuri ubeti wake akiwa amevalia suti nyeupe. Wengine ambao JB anapongezwa kwa umahiri wa kuwatumia watu ni Fi Care, na Genta. Fi Carey ana sauti ya base na alitunga wimbo uitwao l'e spoi'r de Chicago, ni wimbo mzuri sana kwenye album ya internet, unaweza kugoogle wimbo huo na kucheza kwa you tube. Jamaa aliyenyoa panki kama kiduku na kuvaa suti nyeusi ndo huyo Fi Carey. Genta anarap pamoja naTutu Calugi kwenye wimbo wa Internet, ni bonge hivi! Alain Mpela( Afande) nae anaimba na kwa kiasi kikubwa alihusika kuipaisha Wenge BCBG ya JB M'piana.

Live Zenith 99' concert ilofanya Mpiana akapewa Golden CD,
 
Mzee hawa watu unawajua au una bahatisha !?........kuna Album inaitwa 'Soukous Stars in the Hollywood' mpini wa Solo Gitaa ulipigwa na Saladinn !
walikuwemo 'Majani. ya Fedha na Nguma Lokito. Yondo Sister na Mzee Shimita.
Dally Kimoko anakaa kitako kwa Diblo Dibala.

Mjomba acha utani bana!! unasema Dally Kimoko au Hamza Kalala??
 
jaman nimekuwa na mkanganyiko kutokana na historia ya mwanamziki yondo sister wengine wanasema alishakufa wengine yupo hai du nashindwa kuelewa wajama naomba mnisaidie historia nzima ya yondo sister.ahsanten

mtafute Tontooo Zuberi Mwana wa Musabah Voti Laki 6 kila j4 saaa nne kamili mpk saa saba kamil 9t mare
 
Mhhh! Hahahahahaha, Sasa hata nikiweka link ikiwa bado unatumia ile Nokia 3310 ndio uta-download kweli? Melodie ya kitoko!

uwiiiiiiiiii,,,, sa ivi nina ki laptop..... nimepata audio tu sa me nataka video weka basi unajua nimepewa dedication huo wimbo.
 
Kaka, hivi nani alipiga mpini wa nyimbo hizi: Evelyne-Aurlus Mabelle, Missete- Lucien. Leo pia tuwaguse Wenge BCBG. Kuna watu mi huwa wananikuna sana hasa album tatu za Wenge Musica BCBG chini ya Jean Badel Mpiana. Album hizo ni Titanic- Internet na Toujours Humble(TH) .Watu wenyewe wa kwanza ni Jules Kibens( le' professior), Alain Mpella( Afande), Aimelia Lyesse Demingongo, Chai Ngenge, Rio, Burkinafasso, Titina Alcapone ambae ni mpiga drums, lakini kwenye album ya Titanic alitunga wimbo uitwao Tour Eiffel(ule mnara maarufu wa pale jijin Paris). Nyimbo zifuatazo zina ladha tamu kuzikiliza kutoka kwa wenge bcbg! Nyimbo hizo ni: TH, Education, 48 Heures Gecoco,Walay Danico( hizi kutoka Album ya TH), Liberation, Tour Eiffel,Champion Kapangala, Omba( Album Titanic) na Internet, le' spo'ir de Chicago na love force za album ya Internet. Japo album za nyuma ambazo Wenge ilikuwa imetimia zilikuwa nazo ni nondo. Nyimbo kama pile ou face, no comment shenghen, Filandu, ndombolo, hi ho ha, kalayi boeing, masuwa, conse'il patcho, banalunda na feu'x d' la' mour utakubali jamaa walikuwa poa.

Asee we CHAZA wa Kinshasa nn? Maana unatiririka hadi naogopa jombaa.
 
Back
Top Bottom