Yote maisha! Wengine tumefikia hapa tulipo sababu kuna wale walioamuakujitoa Muhanga kwa mapendo. Mama huyo ana uza vitumbua vya moto moto aweze lipa ada ya watoto wake.
Yote maisha! Wengine tumefikia hapa tulipo sababu kuna wale walioamuakujitoa Muhanga kwa mapendo. Mama huyo ana uza vitumbua vya moto moto aweze lipa ada ya watoto wake.
Kuna siku nilikutana na mama mmoja mitaa ya Uswazi ninakaoishi anachoma maandazi! Nikanunua 2 nishushie na soda nikampa 1000, nikamwambia mama chenji baki nayo...hakuamini kwa mshangao!
Kumbe wewe ni fisadi kiasi hicho? Yaani maandazi 2 ya shs 50 kila moja unaacha 900 zote? Au ulitaka kumpora mtu mke wake?
Angalia sana Bro unapokuwa huku kwetu uswazi ....kila unachofanya kina maana zaidi ya ile uliyokusudia! Shauri yako usije kusema kuwa nilikutupa, sikukustua!
Babu DC!
Kweli mkuu, watu wamepata umeneja kwa chimbuko hili..Yote maisha! Wengine tumefikia hapa tulipo sababu kuna wale walioamuakujitoa Muhanga kwa mapendo. Mama huyo ana uza vitumbua vya moto moto aweze lipa ada ya watoto wake.
Huyu mwakilishi kupitia chama cha babu!Na huyu ni mwakilishi wake bungeni. Yote maisha.
Maj Gen DC
Nilifanya hayo kwa moyo mweupe bila kuwaza waaa lolote. Shahidi yangu ni muumba wa nchi na mbingu.
Ngoja niumue unga wangu wa vitumbua nitengeneze kama hivyo.. Vinavutia hatari..
Mkuu hiyo sasa ndo inafaa kwa siku izi kuwa sadaka, make wachungaji wengi siku izi hawaaminiki.
Isitoshe wengi wao wanamiliki mali za anasa.
umegusa historia yangu halisi,namuombea mama yangu na wamama wengine wote baraka za Mungu,Mungu awatie nguvuYote maisha! Wengine tumefikia hapa tulipo sababu kuna wale walioamuakujitoa Muhanga kwa mapendo. Mama huyo ana uza vitumbua vya moto moto aweze lipa ada ya watoto wake.
Yote maisha! Wengine tumefikia hapa tulipo sababu kuna wale walioamuakujitoa Muhanga kwa mapendo. Mama huyo ana uza vitumbua vya moto moto aweze lipa ada ya watoto wake.