You are not from around,are you?

You are not from around,are you?

Diana-DaboDiff

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2009
Posts
376
Reaction score
19
why do people especially foreigners assume anybody speaking good English is not a Tanzanian? i have come accross this several times,how many of you here have also been asked this odd question?
 
may inglish is bedy...so they won't even bother to ask me!

On a serious note, inapokuja suala la kiingereza watanzania wengi bado tuna matatizo makubwa. Naona sasa kuna msukumo wa kurudisha matumizi kiswahili katika ofisi na taasisi za umma...labda tunaweza kufanikiwa....maana kwa sasa kiswahili nacho bado kinatupa shida.Tuliobahatika kwenda shule kidogo ndo hivyo tena tunatumia 'kiwanglish'.
 
may inglish is bedy...so they won't even bother to ask me!

On a serious note, inapokuja suala la kiingereza watanzania wengi bado tuna matatizo makubwa. Naona sasa kuna msukumo wa kurudisha matumizi kiswahili katika ofisi na taasisi za umma...labda tunaweza kufanikiwa....maana kwa sasa kiswahili nacho bado kinatupa shida.Tuliobahatika kwenda shule kidogo ndo hivyo tena tunatumia 'kiwanglish'.
ahhhh kumbe sio peke yangu... what a relief :target: hivi kiswahili kwanini kigumu?
 
Tatizo lako huwazungumshi Kiswahili cha kutosha.Ukiwazungumzisha Kiswahili cha nguvu na kuwafanya wafunue kamusi zao hawatakuuliza ujinga ujinga huu.
 
Kuna baadhi yenu munaona sifa kuzungumza kiingereza chenye accent ya kimarekani, kama wale waigizaji wa kinijeria wanaojidai kuzungumza hivyo siku hizi. Ndio maana munaulizwa hivyo.

Aaaaaagh munaniboa kweli!
 
I have already been faced with such a circumstance...
The problem is; they are used to hearing our broken-English... but when someone stands up and beat them at their game, they tend to think it's not a Tanzanian...
Ukweli ni kwamba; tunaweza... We only need practice...
 
Kuna baadhi yenu munaona sifa kuzungumza kiingereza chenye accent ya kimarekani, kama wale waigizaji wa kinijeria wanaojidai kuzungumza hivyo siku hizi. Ndio maana munaulizwa hivyo.

Aaaaaagh munaniboa kweli!

Fine! nakubaliana na wewe kuwa kuna watu, wanaopenda kujifanyisha, kwa kuongea, "American slang/ ghetto-talk", na si, "American English"...
American English ni nzuri tu na wala haina shida... Shida ipo kwa wale wanaoiga "American slang", ambayo hutokana na black-Americans...
Shida nyingine ni kwamba; wabongo wengi tunashikwa na wivu tunapoona wenzetu wanaongea kingereza kizuri, na tunasingizia kwamba; eti tunaboreka...
Fanya vizuri! na wewe utasifiwa...
 
Kuna baadhi yenu munaona sifa kuzungumza kiingereza chenye accent ya kimarekani, kama wale waigizaji wa kinijeria wanaojidai kuzungumza hivyo siku hizi. Ndio maana munaulizwa hivyo.

Aaaaaagh munaniboa kweli!

Give it straight to their face.....simple but real! Kakague thanks juu mkuu!
 
I have already been faced with such a circumstance...
The problem is; they are used to hearing our broken-English... but when someone stands up and beat them at their game, they tend to think it's not a Tanzanian...
Ukweli ni kwamba; tunaweza... We only need practice...

Beat them!!! teh teh teh ..... So u nw think u beat them...Hii inachekesha sana yaani .......
 
I have already been faced with such a circumstance...
The problem is; they are used to hearing our broken-English... but when someone stands up and beat them at their game, they tend to think it's not a Tanzanian...
Ukweli ni kwamba; tunaweza... We only need practice...

Kwanza kabisa, kama wengine wanavyojua hapa - kwa gharama ya kuitwa mjivuni nise kiasi katika ulimbwende nakshi uso mipaka-, mimi napenda sana umahiri katika lugha.Si Kiswahili na Kiingereza tu mpaka kilatini, Kifaransa, lugha za makabila yetu na lugha nyingine zote muhimu.Unavyojua lugha zaidi unajua mengi zaidi. Kwa msingi huu basi, Kiingereza nacho nakipenda, kuanzia historia yake, tamthiliya na nahau zake, ngeli ovyo zake, mashairi yake mpaka istilahi na lahaja zake za kijiografia na kijamii .

Lakini huku kujifaragua na kujitutumua kiushindani nilikokunukuu hapo juu kwa kweli ni kukosa mantiki kama si ulimbukeni uliobobea.

Ulimbukeni huu wa "when someone stands up and beat them at their game" unachekesha sana. Ni akili za kitoto tu ambazo hazijapevuka kutoka mawazo ya ushindani usio tija, kuonyeshana ulimbwende usio kina na unaoweza kabisa kuwa na mabaki ya mshikemshike wa "kindumbwendumbwe chalila", kwa wale wanaoelewa ngoma hiyo.

Una "stand up" vipi kwa kutumia lugha ya mwenzako? Mimi naona una "bow down" tu!

Wenyewe wanakuangalia huku wakisema "G'head with your barely utilitarian globish that merely passes for some outsourced I.BM call centre English !"

Kwa nini utake kushindana na mtu katika lugha yake? Au hata isiyo yako? Unaamini kujua lugha yake/ isiyo yako ndiyo kuwa na akili? Kwa hiyo ukiongea lugha yake vizuri ndiyo atakuona unafaa na kukuachia makombo ya mezani?

Nilikuwa nafanya kazi na MSkoti mmoja nilivyokuwa Tanzania, alikuwa ana shauku sana ya kutaka kujifunza lugha mbalimbali, na alikuja Tanzania huku akitaka sana kujifunza Kiswahili, lakini tatizo kila alipoanzisha mazungumzo kwa Kiswahili na Watanzania, Watanzania walikuwa wanamjibu Kiingereza, kama vile hawamsikii kwamba yeye anaongea Kiswahili, au kama hawataki "bwana mkubwa" apate shida kuzungumza Kiswahili kama vile wao hawajasoma na hawajui Kiingereza (kwao kujua Kiingereza ilikuwa ni alama ya kusoma na daraja) basi huyu Mskoti alipata tabu sana kuzungumza Kiswahili, ikatokea kukawa na mpishi mmoja alikuwa anampeleka peleka Kiswahili ndiye akaja kuwa rafiki yake mkubwa, na huyu Mskoti akawa anamheshimu sana yule mpishi, kwa maana hakutaka kumtetemekea yeye kwa sababu mzungu, na kujitia kuongea Kiingereza.

Funzo la habari hii ni, kama kweli hutaki wageni wajiulize kuhusu kama wewe ni Mtanzania au vipi, usiwazungumzie Kiingereza, zungumza nao Kiswahili, watajua.

Ukizungumza Kiingereza unawapa haki ya kukuuliza wewe mtu wa wapi, maana Kiingereza kinazungumzwa kama lugha ya kwanza na watu wa sehemu zote za dunia.

Na Watanzania wengi hatujui Kiingereza.

Zaidi ya hapo, utakuwa si mkweli kujifaragua kushangaa kuulizwa kama wewe ni Mtanzania, wakati pengine moyoni mwako ulianza na nia ya kutaka kujitenganisha kutoka Watanzania wa kawaida tusiojua Kiingereza vizuri, ili bwana mkubwa mzungu akuone kwamba wewe si kama wale.

Na baada ya kusema yote hayo, kwa mtu anayefuata uzuri wa lugha na logic, Kiingereza hakifui dafu kwa Kiswahili. Na kama unabisha kamsome poet/ playwright laureate George Bernard Shaw (Nobel for Literature and Oscar) uone alivyokisagia Kiingereza, halafu soma tenzi za Kina Shaaban Robert na Saadani, uone Kiswahili kilivyojipanga vizuri. Na siongei hivi kwa sababu ya uzalendo, mnaonijua mnajua ninavyounyea uzalendo utafikiri reincarnation ya H.L Mencken.

Utumwa wa mawazo mgumu sana kuuondoa.
 
Kwanza kabisa, kama wengine wanavyojua hapa - kwa gharama ya kuitwa mjivuni nise kiasi katika ulimbwende nakshi uso mipaka-, mimi napenda sana umahiri katika lugha.Si Kiswahili na Kiingereza tu mpaka kilatini, Kifaransa, lugha za makabila yetu na lugha nyingine zote muhimu.Unavyojua lugha zaidi unajua mengi zaidi. Kwa msingi huu basi, Kiingereza nacho nakipenda, kuanzia historia yake, tamthiliya na nahau zake, ngeli ovyo zake, mashairi yake mpaka istilahi na lahaja zake za kijiografia na kijamii .

Lakini huku kujifaragua na kujitutumua kiushindani nilikokunukuu hapo juu kwa kweli ni kukosa mantiki kama si ulimbukeni uliobobea.

Ulimbukeni huu wa "when someone stands up and beat them at their game" unachekesha sana. Ni akili za kitoto tu ambazo hazijapevuka kutoka mawazo ya ushindani usio tija, kuonyeshana ulimbwende usio kina na unaoweza kabisa kuwa na mabaki ya mshikemshike wa "kindumbwendumbwe chalila", kwa wale wanaoelewa ngoma hiyo.

Una "stand up" vipi kwa kutumia lugha ya mwenzako? Mimi naona una "bow down" tu!

Wenyewe wanakuangalia huku wakisema "G'head with your barely utilitarian globish that merely passes for some outsourced I.BM call centre English !"

Kwa nini utake kushindana na mtu katika lugha yake? Au hata isiyo yako? Unaamini kujua lugha yake/ isiyo yako ndiyo kuwa na akili? Kwa hiyo ukiongea lugha yake vizuri ndiyo atakuona unafaa na kukuachia makombo ya mezani?

Nilikuwa nafanya kazi na MSkoti mmoja nilivyokuwa Tanzania, alikuwa ana shauku sana ya kutaka kujifunza lugha mbalimbali, na alikuja Tanzania huku akitaka sana kujifunza Kiswahili, lakini tatizo kila alipoanzisha mazungumzo kwa Kiswahili na Watanzania, Watanzania walikuwa wanamjibu Kiingereza, kama vile hawamsikii kwamba yeye anaongea Kiswahili, au kama hawataki "bwana mkubwa" apate shida kuzungumza Kiswahili kama vile wao hawajasoma na hawajui Kiingereza (kwao kujua Kiingereza ilikuwa ni alama ya kusoma na daraja) basi huyu Mskoti alipata tabu sana kuzungumza Kiswahili, ikatokea kukawa na mpishi mmoja alikuwa anampeleka peleka Kiswahili ndiye akaja kuwa rafiki yake mkubwa, na huyu Mskoti akawa anamheshimu sana yule mpishi, kwa maana hakutaka kumtetemekea yeye kwa sababu mzungu, na kujitia kuongea Kiingereza.

Funzo la habari hii ni, kama kweli hutaki wageni wajiulize kuhusu kama wewe ni Mtanzania au vipi, usiwazungumzie Kiingereza, zungumza nao Kiswahili, watajua.

Ukizungumza Kiingereza unawapa haki ya kukuuliza wewe mtu wa wapi, maana Kiingereza kinazungumzwa kama lugha ya kwanza na watu wa sehemu zote za dunia.

Na Watanzania wengi hatujui Kiingereza.

Zaidi ya hapo, utakuwa si mkweli kujifaragua kushangaa kuulizwa kama wewe ni Mtanzania, wakati pengine moyoni mwako ulianza na nia ya kutaka kujitenganisha kutoka Watanzania wa kawaida tusiojua Kiingereza vizuri, ili bwana mkubwa mzungu akuone kwamba wewe si kama wale.

Na baada ya kusema yote hayo, kwa mtu anayefuata uzuri wa lugha na logic, Kiingereza hakifui dafu kwa Kiswahili. Na kama unabisha kamsome poet/ playwright laureate George Bernard Shaw (Nobel for Literature and Oscar) uone alivyokisagia Kiingereza, halafu soma tenzi za Kina Shaaban Robert na Saadani, uone Kiswahili kilivyojipanga vizuri. Na siongei hivi kwa sababu ya uzalendo, mnaonijua mnajua ninavyounyea uzalendo utafikiri reincarnation ya H.L Mencken.

Utumwa wa mawazo mgumu sana kuuondoa.

Whatever man...
Suit yourself!!!
Kiswahili bongo????????????
 
Kuna baadhi yenu munaona sifa kuzungumza kiingereza chenye accent ya kimarekani, kama wale waigizaji wa kinijeria wanaojidai kuzungumza hivyo siku hizi. Ndio maana munaulizwa hivyo.

Aaaaaagh munaniboa kweli!

kama hujasoma literature usilaumu sana. kuna somo linaitwa phonology (study of speech sound of a particular language). ukiongea kizungu si uongee na milafudhi ya kwenu. ongea kwa ile accent ya mzungu. mbona kuna wazungu wengi tu na wachina huwa wanaongea kiswahili na kuweka mapozi yanayostahili katika lugha yetu?
 
Back
Top Bottom