"You Are The Woman Of My Life"

"You Are The Woman Of My Life"

Dela

Member
Joined
Aug 25, 2013
Posts
78
Reaction score
13
Hatimaye Kashapatikana jamani....... Hii thread haina haja tena, I wish Moderators waifute tu.......Thanx Jf kwa kunikutanisha nae.
 
mmmmmhh.... mbwembwe nyiiiiiingi, ingia humo sasa!!! mwee!!!
utatamani ardi ipasuke...... (ni mtazamo tuu)
 
mmmmmhh.... mbwembwe nyiiiiiingi, ingia humo sasa!!! mwee!!!
utatamani ardi ipasuke...... (ni mtazamo tuu)

Mmmmh, Mtazamo wako Two ten Mbona Hakuna Mbwembwe, I just Spoke what Lives Inside My Lonely Heart, Kama wewe Tayari Upo Katika Paradise ya Mahusiano, Im happy 4 U.
 
Last edited by a moderator:
Maneno mengi, lakn hayana maana yeyote ukitaka kub'live jaribu kujichanganya yakakuteka haya maneno. ukaaenda kwa huyu bwana...!

ni mtazamo tu kila la kheri Dela...!
 
Jamani Nnaimani Kilio changu kimepata Sikio la Kukisikiliza Asante sana Ewe Uliweza Kunielewa na Kunipa Nafasi Japo ni Mapema Kusema Mengi Ila nachukua Fursa Hii Kukushukuru kwa kuwa Muelewa na pia kuwaambia Wengine kwamba sidhani kama Kuna Haja ya Hii Thread Kuendelea kuwa Live, Asante Sana "........" Kwa heshima yako nimeweka jina kampuni ila kwa kuwa unajijua waweza niruhusu au Kunikataza. Thank you.
 
Back
Top Bottom