sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
Mimi ni Mtanzania, nachukia kwa kiwango cha hali ya juu, kinachoendelea Nchini Kenya, kisa tu kuwa heti mpate madaraka, awe rais apate mshahara mkubwa?? alafu apoite barabarani na vingora? this is studit never happen!
narua tena kuewasihii, mnaotaka kuandamana, mkuje mkutane na askari walio toka depo, hata kama hawatoshi kenya hazimeni TZD, muone moto, haiwezekani mtuchafulie Africa mashariki yetu bhana!
Odinga, siku ya maandamano naomba uwe wa kwanza mbere sio uagize watoto wa wakulima wawe mbere ilihali wanapigani wewe, uingie ikulu.
Uhuru Kinyata naomba tarehe 26, jitokeze no moja ukapige kula!
narua tena kuewasihii, mnaotaka kuandamana, mkuje mkutane na askari walio toka depo, hata kama hawatoshi kenya hazimeni TZD, muone moto, haiwezekani mtuchafulie Africa mashariki yetu bhana!
Odinga, siku ya maandamano naomba uwe wa kwanza mbere sio uagize watoto wa wakulima wawe mbere ilihali wanapigani wewe, uingie ikulu.
Uhuru Kinyata naomba tarehe 26, jitokeze no moja ukapige kula!