You marry a person not descrptions

You marry a person not descrptions

mfwimijr

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2014
Posts
203
Reaction score
152
Nimepitia Uzi kadhaa humu kwenye jukwaa ila nadhani kuna kitu kinakosewa na wanaotangaza kutafuta wachumba au wenzi humu. Mtu anatoa vigezo vya anayemhitaji ila anasahau kuwa genuine characters ni kile kinachomfanya mtu atambukike mwanamke au mwanaume na uwezo Wa kuzaa au kuzalisha mengineyo mbwembwe tu.
 
kwahi hiyo ulitaka wafanyaje..!!!
We ndio uko wrong kabisa...hakuna point hapo, na bila shaka hauko katika mahusiano either umri bado au kuna kikwazo kingine...,
Kama nguo, magari, nyumba, viatu huwa tunataka vyenye sifa fulani, ndio hata wapenzi inakuwa hivyo, huwezi kujitupia tu kwa mtu ilimradi ni mwanamke au mwanaume, lazima kuww na vigezo vya kutofautisha mume na mwanamume, au mke na mwanamke....,
 
Aisee

sasa wasio na uwezo wa kuzaa hao hawatakiwi kupendana??

Umekosea kwelikweli
 
kwahi hiyo ulitaka wafanyaje..!!!
We ndio uko wrong kabisa...hakuna point hapo, na bila shaka hauko katika mahusiano either umri bado au kuna kikwazo kingine...,
Kama nguo, magari, nyumba, viatu huwa tunataka vyenye sifa fulani, ndio hata wapenzi inakuwa hivyo, huwezi kujitupia tu kwa mtu ilimradi ni mwanamke au mwanaume, lazima kuww na vigezo vya kutofautisha mume na mwanamume, au mke na mwanamke....,
Asanteee [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Back
Top Bottom