MwanaKijiji your assesment is politicaly and Economicaly wrong. Ki Uchumi , Kiwanja chaMpira cha Dola Milioni 50 Kinafaida kiuchumi kuliko milioni 170 tulizokopeshwa na IMF na zikaishia kwenye mikono ya mafisadi.WAkati tunazidi kupata hasara ya kuservice Intrest ya pesa zilizoibiwa na mafisadi kiwanja kitakuwa kinaongeza tija ya michezo Tanzania.
Pili Fedha zote ulizozitaja hazina Economic Value kwenye nchi yetu kwasababu zimefichwa nje ya nchi na mafisadi hivyo Basi hakuna faida yoyote tunayoipata.
Politicaly China policy to Africa is the right one, Wanajua viongozi wetu ni mafisadi kwahiyo wakitoa pesa wanaleta watalaamu wao na wanhakikisha mradi uliokuwa proposed umetekelezwa ,I bet u kama China ingekuwa imeipat hiyo milioni 50 ya Ujenzi wa kiwanja cha mpira serikali mpaka sasa usingeona kiwanja,
Pili hizo milioni 20 walizotoa kwa ajili ya kujenga hospitali ninauhakika zitajenga hospitali kwababu watasimami na kuahakikisha zinafanya kazi.
Tatu, Ukilinganisha mkutano wa kibiashara wa wachina na watanzania uliofanyika mwaka jana ngurudoto na mkutano ulifanyw kuwa wa biashara wa sullivan summit, ninakuhakikishia watanzania walifaidika na ujio wa wachina kuliko sullivan summit
Mwisho ninachojaribu kukuambia ni kwamba, ,Msaada ukitolewa Tanzania haijalishi kiasi ila kinachojalisha ni usimamizi wa utimizaji wa lengo la msaada huo
Therefore my valuation tells me that the chines aid has more Value than ur mentioned stolen moneies
Pili Fedha zote ulizozitaja hazina Economic Value kwenye nchi yetu kwasababu zimefichwa nje ya nchi na mafisadi hivyo Basi hakuna faida yoyote tunayoipata.
Politicaly China policy to Africa is the right one, Wanajua viongozi wetu ni mafisadi kwahiyo wakitoa pesa wanaleta watalaamu wao na wanhakikisha mradi uliokuwa proposed umetekelezwa ,I bet u kama China ingekuwa imeipat hiyo milioni 50 ya Ujenzi wa kiwanja cha mpira serikali mpaka sasa usingeona kiwanja,
Pili hizo milioni 20 walizotoa kwa ajili ya kujenga hospitali ninauhakika zitajenga hospitali kwababu watasimami na kuahakikisha zinafanya kazi.
Tatu, Ukilinganisha mkutano wa kibiashara wa wachina na watanzania uliofanyika mwaka jana ngurudoto na mkutano ulifanyw kuwa wa biashara wa sullivan summit, ninakuhakikishia watanzania walifaidika na ujio wa wachina kuliko sullivan summit
Mwisho ninachojaribu kukuambia ni kwamba, ,Msaada ukitolewa Tanzania haijalishi kiasi ila kinachojalisha ni usimamizi wa utimizaji wa lengo la msaada huo
Therefore my valuation tells me that the chines aid has more Value than ur mentioned stolen moneies