You should have told me guys....!kwanin mmenifanyia hivi?.........

hapa nimeshakamilisha asilimia 99 ya mambo yote..!nimekaa nakufanya tathmini nimegundua PESA IMENITOKA!..tena mingi tu!sasa najiuliza kwanini sikulijua hilo?

binamu binamu, hii kitu ni once in a life time, pesa huwa inatafutwa binamu siku zote na haijawahi kujaa usijali ,can someone here tell me the distance from a-tawn to makambako pleeese? πŸ˜€
 
Geoff... hivi kweli unadhani uko peke yako? yaani unaamini kwamba gharam zote za ndoa ni zako?

Mh... ahadi sasa mbona naona kama haiswihi?
hehehe!
mpwaaz haya mambo yanapasua kichwa...!kila nikifanya tathmini lol!
hapa nilipo ninaishi kwa imani na courage za wapwaaz na marafiki
 
binamu binamu, hii kitu ni once in a life time, pesa huwa inatafutwa binamu siku zote na haijawahi kujaa usijali ,can someone here tell me the distance from a-tawn to makambako pleeese? πŸ˜€
hahaha!
nashukuru kwa courage!

kuhusu umbali...well!ninachokijua ni kwamba ni twelve hours drive...
 
hehehe!
mpwaaz haya mambo yanapasua kichwa...!kila nikifanya tathmini lol!
hapa nilipo ninaishi kwa imani na courage za wapwaaz na marafiki

Mkuu presha yake usipime, lakini tuko pamoja na mweisho wa siku utakubaliana na mimi kwamba hii kitu itakuwa memorable kwa kila mtu

Pamoja kama chenge na driving license!!
 
Ndio maana kamati zenye akili huwa zinatoa zawadi ya CASH kwa bwana na bibi harusi. Mambo ya kumnunulia friji au sijui gari wakati tayari analo yameshapitwa na wakati. Wanakamati wakikuuliza unataka zawadi gani waambie wakupe CASH inayolingana na bajeti yao ya zawadi.

Inasadia sana kupunguza maumivu ya gharama za harusi! Ni maoni yangu tu! πŸ™‚
 
najaribu kuitafakari nashindwa!

kwani wewe dada harusi yako ilikuwa ngumu kama yangu...?

Yawezekana wakati huo gharama hazikuwa kubwa kwa kuwa hata kumbi za harusi zilikuwa za kawaida.

Sasa siku hizi kumbi za harusi Mlimani City Tshs 7M, Uwanja Mpya wa Taifa 15M........Ndio mnaa maharusi wanafulia mapema! πŸ™‚
 
noted!.........
 
Mkuu presha yake usipime, lakini tuko pamoja na mweisho wa siku utakubaliana na mimi kwamba hii kitu itakuwa memorable kwa kila mtu

Pamoja kama chenge na driving license!!
hehehe!
UNDERSTOOD
 
hehehe!
mpwaaz haya mambo yanapasua kichwa...!kila nikifanya tathmini lol!
hapa nilipo ninaishi kwa imani na courage za wapwaaz na marafiki

mi nilikuambia changisha siku ya ndoa watu waje church afu mkitoka unawaambia sherehe ndo imeishia hapo nyie mnasepa zenu honey moon na mihela ya mchango mmebank tayari kuanzia maisha ya ndoa!!!!

hicho ndo ntachofanya kwa uzoefu nlojifunza toka kwa harusi 2 nilizopigwa changa la macho.

they were so brave anyway!!!!!!!
 
Sorry buddy

Ukiisha weka shemeji ndani gharama zitapungua, hutoenda kupata supu kwenye bar na marafiki walevi kama sisi utatutosa. Na wadada waleee utawabadilishia namba za simu ama ukiwapigia unaweka private wasikuombe vocha.

I am retiring soon from bachelorhood!

Jongwe hongera, Mungu atakupa matunda ya ndoa (si tendo la ndoa)
 

Hii ni pweint....nimeisave kwenye hard disc.
 

si na lenyewe ni tunda la ndoa au???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…