You title it.......

You title it.......

Hao wazushi achana nao, mimi nimeajiriwa forum flani ya kibangaladesh , nalipwa kila post ninayorembea hewani rupia mia mbili za kidosi.
Hapo red, fellow tablet alizuriwa na supu ya chura, alimtongoza mchina bana alipofika nyumbani kwa mchina staftahi ikawa supu ya chura.
Usimshtue kama nimekwambia lakini
Simshitui. Siri yangu!
 
Back
Top Bottom