You will never be accommodated in Zanzibar if Tanganyika is "dead" "

You will never be accommodated in Zanzibar if Tanganyika is "dead" "

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Polisi haya mnayoyafanya, , ya kumsaidia samia kuiuza Tanganyika, kuiharibu Tanganyika, muungano huu ukivunjka na ikawa serikali tofauti na CCM, hamtakimbilia zanzibar...you will never be accomodated in Zanzibar.
Pigania Tanganyika yetu , yeye anajenga zanzibar kwa rasilimali za Tanganyika nanyi mnamsaidia kuibomoa Tanganyika!
 
1979 nilikuwa TRC Mwanza nikiratibu safari za mashujaa wetu wa Vita ya Kagera 😂😂😂😂

😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 Labda Mwanza ya Tumboni mwa mama zetu, siyo ya Tanganyika , around Lake Victoria!
Mmh kwani Mzee Mgaya ana miaka mingapi bwashee?
Si yupo sawa na Mzee Warioba au the giant African Wasira?
😁😁
 
Nimesoma UDSM 1979, hujazaliwa na labda hata waliokuzaa walikuwa bado kuzaliwa! I can manage it better in english than kiswahili 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀😀😀😀😀
1979 nilikua karatu sec kama msaidizi wa headmaster
 
Na kwanini umwite hivyo mtu usiyemjua?

Unajua kuna Watu hudhani kutumia ID fake ni kujificha aisee Wanajidanganya sana

Kwako Lucas 😂
Umeongea point kubwa sana! Anonymity siyo warrant ya kuvunja sheria/kutukana and the like! Anonymity ni fursa ya kutoa mawazo yako ya haki na kweli ambayo madikiteita hawataki kuyasikia kulinda ukandamizaji wao!
 
Back
Top Bottom