- Thread starter
- #21
Marahaba!Mwaka 1979 Mama angu mzazi ana miaka 4. Shikamooni wazee wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marahaba!Mwaka 1979 Mama angu mzazi ana miaka 4. Shikamooni wazee wangu
Watu wanaotukana watu wengine ni wale waliokosa malezi mema kutoka kwa wazazi wao - mama na baba.Umeongea point kubwa sana! Anonymity siyo warrant ya kuvunja sheria/kutukana and the like! Anonymity ni fursa ya kutoa mawazo yako ya haki na kweli ambayo madikiteita hawataki kuyasikia kulinda ukandamizaji wao!
Karatu Secondary School was built as a joint project between the government of Tanzania and the Lutheran Church .The school enrolled its first students in 1974.Karatu sec ilikuwa haipo duniani
Nimesoma UDSM 1979, hujazaliwa na labda hata waliokuzaa walikuwa bado kuzaliwa! I can manage it better in english than kiswahili 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀😀😀😀😀
Mara nyingi ni wale watoto waliolelewa na mzazi mmojaWatu wanaotukana watu wengine ni wale waliokosa malezi mema kutoka kwa wazazi wao - mama na baba.
Rubbish!@ tafuta wa size yako in reasoning!Acha kututisha mkuu...UDSM imeingiaje hapo?muungano kamwe hautovunjika na ccm haitotoka madarakani ...kwanza juzi mbona hujaonekana kwenye maandamano?ulijificha wapi ww kamanda ..mkamuacha mwenyekiti pekeyake
Kwahiyo ww uko juu yangu ?mbowe amewashika akili zenu mpaka hamjutambui!!Rubbish!@ tafuta wa size yako in reasoning!
Hivi hakunaga POLISI au Askari wenye akili hata Kidogo??! Kuna siku tutapata IGP anayejitambuaPolisi haya mnayoyafanya, , ya kumsaidia samia kuiuza Tanganyika, kuiharibu Tanganyika, muungano huu ukivunjka na ikawa serikali tofauti na CCM, hamtakimbilia zanzibar...you will never be accomodated in Zanzibar.
Pigania Tanganyika yetu , yeye anajenga zanzibar kwa rasilimali za Tanganyika nanyi mnamsaidia kuibomoa Tanganyika!
Failures andio wanaokwenda polisi as long as una maguvuHivi hakunaga POLISI au Askari wenye akili hata Kidogo??! Kuna siku tutapata IGP anayejitambua
Ila ww jamaa unaonekana ni mtu fulani hapa motherland.Muulize Mmawia mko naye hapo Ufipa 😀😀
Mkuu mbona sasa una mautoto mengi na wewe ni babu?1979 nilikuwa TRC Mwanza nikiratibu safari za mashujaa wetu wa Vita ya Kagera 😂😂😂😂
Siasa Siyo Kitu halisi ujue hilo😄Mkuu mbona sasa una mautoto mengi na wewe ni babu?