Nimesoma UDSM 1979, hujazaliwa na labda hata waliokuzaa walikuwa bado kuzaliwa! I can manage it better in english than kiswahili π π π π π π π π πππππHuwezi kutumia lugha Moja?πΌ
You have a point!Muungano uvunjikeje??,kwa huu ukondoo wa Watanganyika au unamanisha Wazanzibar wauvunje na kwa namna Zanzibar inavyonufaika na Tanganyika inawezaje kuvunja huu Muungano.
1979 nilikuwa TRC Mwanza nikiratibu safari za mashujaa wetu wa Vita ya Kagera ππππNimesoma UDSM 1979, hujazaliwa na labda hata waliokuzaa walikuwa bado kuzaliwa! I can manage it better in english than kiswahili π π π π π π π π πππππ
1979 nilikuwa TRC Mwanza nikiratibu safari za mashujaa wetu wa Vita ya Kagera ππππ
π π π π π π π Labda Mwanza ya Tumboni mwa mama zetu, siyo ya Tanganyika , around Lake Victoria!1979 nilikuwa TRC Mwanza nikiratibu safari za mashujaa wetu wa Vita ya Kagera ππππ
Na kwanini umwite hivyo mtu usiyemjua?Kumbe humu unaweza mwita mtu Msenge halafu ni Baba yako
Muulize Mmawia mko naye hapo Ufipa πππ π π π π π π Labda Mwanza ya Tumboni mwa mama zetu, siyo ya Tanganyika , around Lake Victoria!
Na kwanini umwite hivyo mtu usiyemjua?
Unajua kuna Watu hudhani kutumia ID fake ni kujificha aisee Wanajidanganya sana
Kwako Lucas π
1979 nilikuwa TRC Mwanza nikiratibu safari za mashujaa wetu wa Vita ya Kagera ππππ
Mmh kwani Mzee Mgaya ana miaka mingapi bwashee?π π π π π π π Labda Mwanza ya Tumboni mwa mama zetu, siyo ya Tanganyika , around Lake Victoria!
ππππMmh kwani Mzee Mgaya ana miaka mingapi bwashee?
Si yupo sawa na Mzee Warioba au the giant African Wasira?
ππ
Miaka hiyo Mzee wangu ndo alikuwa anavulumisha mandege ya mabomu kuelekea Entebbe na kumgoa nduli1979 nilikuwa TRC Mwanza nikiratibu safari za mashujaa wetu wa Vita ya Kagera ππππ
Na akina captain Karama ππMiaka hiyo Mzee wangu ndo alikuwa anavulumisha mandege ya mabomu kuelekea Entebbe na kumgoa nduli
1979 nilikua karatu sec kama msaidizi wa headmasterNimesoma UDSM 1979, hujazaliwa na labda hata waliokuzaa walikuwa bado kuzaliwa! I can manage it better in english than kiswahili π π π π π π π π πππππ
Umeongea point kubwa sana! Anonymity siyo warrant ya kuvunja sheria/kutukana and the like! Anonymity ni fursa ya kutoa mawazo yako ya haki na kweli ambayo madikiteita hawataki kuyasikia kulinda ukandamizaji wao!Na kwanini umwite hivyo mtu usiyemjua?
Unajua kuna Watu hudhani kutumia ID fake ni kujificha aisee Wanajidanganya sana
Kwako Lucas π
nilikuwa Dereva wa Lorry π tukipeleka Vifaa vilivyohitajika huko Front π ππ1979 nilikuwa TRC Mwanza nikiratibu safari za mashujaa wetu wa Vita ya Kagera ππππ
Karatu sec ilikuwa haipo duniani1979 nilikua karatu sec kama msaidizi wa headmaster