You will never be accommodated in Zanzibar if Tanganyika is "dead" "

Umeongea point kubwa sana! Anonymity siyo warrant ya kuvunja sheria/kutukana and the like! Anonymity ni fursa ya kutoa mawazo yako ya haki na kweli ambayo madikiteita hawataki kuyasikia kulinda ukandamizaji wao!
Watu wanaotukana watu wengine ni wale waliokosa malezi mema kutoka kwa wazazi wao - mama na baba.
 
Karatu sec ilikuwa haipo duniani
Karatu Secondary School was built as a joint project between the government of Tanzania and the Lutheran Church .The school enrolled its first students in 1974.
The 40 enrolled students were internally displaced students from Tarime Sec School.
It was officially inagurated by President Julius Nyerere on 14 June 1980.
 
Acha kututisha mkuu...UDSM imeingiaje hapo?muungano kamwe hautovunjika na ccm haitotoka madarakani ...kwanza juzi mbona hujaonekana kwenye maandamano?ulijificha wapi ww kamanda ..mkamuacha mwenyekiti pekeyake
 
Acha kututisha mkuu...UDSM imeingiaje hapo?muungano kamwe hautovunjika na ccm haitotoka madarakani ...kwanza juzi mbona hujaonekana kwenye maandamano?ulijificha wapi ww kamanda ..mkamuacha mwenyekiti pekeyake
Rubbish!@ tafuta wa size yako in reasoning!
 
Hivi hakunaga POLISI au Askari wenye akili hata Kidogo??! Kuna siku tutapata IGP anayejitambua
 
Police wamezoea dhiki na fedheha toka JKT hivyo kwao sio shida kuishi kama wakimbiz after being Retired
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…