Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila pale kwenye 20's sure ni kipindi cha bata Sana, yaani huwazi chochote cha maana zaidi ya kufanya yanayokufurahisha tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahah!, hapa ndo nakubaliana na mada cos ndo ilivyo hata kwetu, huo umri mtu hukumbuki sana ya maana zaidi ulofanya zaidi ya kujirusha. Kwa kweli the most I can remember at that age ni weekends tu!
Mkuu siku hizi unashusha madini, vipi mwenzetu umepata kazi ya kumbebea Lissu mikoba yake niniLakini JF! [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kabisaa yaani kuna mambo ukilinganisha unaweza jikuta unamuuliza maswali mengi Sana Mungu.Aisee!, kuna tofauti kubwa sana katika hii dunia jinsi tunavyoishi. Kwetu 60 mtu ndo anastaafu, halafu kwa kulazimishwa maana na bado ana mambo kibao yanamsubiri kufanya.
Wakati kuna wengine huko duniani wanapanga kumaliza kila kitu kama ni kulea na ku retire by 40, ili wa enjoy maisha mazuri bila bughudha ya kukuza au kusomesha watoto.
Khaaa!, kubeba mikoba tena! [emoji28]
Mbimbinho sasa umenichoka! [emoji1]
Raha sana. 60 hiyoooo[emoji24] [emoji24] [emoji24]Haha!, acha tu, ama kweli utoto raha! [emoji28]
Yaani nina maswali mengi kwakweli, basi tu.Kabisaa yaani kuna mambo ukilinganisha unaweza jikuta unamuuliza maswali mengi Sana Mungu.
Kabisaa yaani kuna mambo ukilinganisha unaweza jikuta unamuuliza maswali mengi Sana Mungu.
wengine maisha yetu yamekuwa ya huzuni mno......tukipata kiwango hcho cha furaha hata kwa miez 6 tu tutashkuru sana,...wacha tuendeleee kufight na kupiga maombi
Hahahaaaa!! Basi nawe goma kuzeeka kama Heaven Sent.[emoji28] [emoji24]