Makombe ya ndani&ngao ya Jamii Mnyama ashachukua sana.,Nina nbc nina ngao ya jamii kesho kutwa na chukua azam wewe hata moja nionyeshe nakupa 100000 sasa hivi
Wewe leta la cuf hapa sasa haviMakombe ya ndani&ngao ya Jamii Mnyama ashachukua sana.,
Nikajua unazungumzia Kombe la CAF bhana 😂
tunabeba kombe la kafu pyaaaaa,,,pyaaaaa,,,pyaaaaa,,,paaaaa,,kimyaaaaa.Heeee kwanza nicheke unnasemaje??
medali kitu gani bana iyo hapo hata panya Magawa anayo.😅Wewe leta la cuf hapa sasa havi
leta medali. Hapa
Haswaaaaah!!!Yanga jana ukiachana na penalty waliyopata dakika za mapema kabisa hamna walichocheza baada ya hapo ubunifu zero,.. USMA walipoteza nafasi nyingi tu za kufunga mpaka penalty wamekosa.
NB:- Ukiona Kipa wako ndiyo anakua MAN OF THE MATCH, UJUE ULIZIDIWA.
Mikia kama kawaida mlivyokuwa na msemaji manara mlikuwa manacopy kila usemi wake. Sasa hivi mna mlopokaji andazi mnapest tu semi za andaziYanga kakutana na vibonde tupu mpaka alipofikia,kule champoins alikutana na Al hilal ya Ibenge yenye stricker butu akajambishwa akuvuka sikwambii angekutana na majini ya Mamelody,Raja au Al ahly.
sio kweliYanga jana ukiachana na penalty waliyopata dakika za mapema kabisa hamna walichocheza baada ya hapo ubunifu zero,.. USMA walipoteza nafasi nyingi tu za kufunga mpaka penalty wamekosa.
NB:- Ukiona Kipa wako ndiyo anakua MAN OF THE MATCH, UJUE ULIZIDIWA.
Umekubali mwenyewe asante studioMmekutana na timu vibondee kasoro huyu Algers ila Mungu hakua upande wenu..jaribuni tena baadae...
Nimekubali niniA
Umekubali mwenyewe asante studio
Yanga bwana yenuNimekubali nini
Bwana wa Yanga ni kibu DYanga bwana yenu
Na waarabu nao walipewa penalt walikosaaHivi kumbe goli lilikua ni penalty