Young Africans tayari wametua Dar kuelekea derby ya K'koo

Young Africans tayari wametua Dar kuelekea derby ya K'koo

Kichwa Kichafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
44,855
Reaction score
189,385
Habari!

Baada ya kukusanya point 7 kati ya 9 kanda ya ziwa. Mabingwa wa kihistoria Young Africans wamewasili Dar es Salaam kutokea Mwanza.

Tayari kwa maandalizi kelekea mpambano wa derby ya Kariakoo Jumamosi ya November 7.

Wape Salaam!



Young%20Africans.jpeg
Derby.jpeg
 
Wamekuja na Baleke John Bakilile?
 
Karibuni wananchi kwa ajili ya kumnyoa mikia tar 7
 
Back
Top Bottom