Young Africans yazindua jezi mpya msimu wa 2021/2022

Yanga wamezingua kumpa ajira, yani unamaanisha alitakiwa akae bila kazi aadhirike kama mlivyokuwa mnaombea Ili mpate nguvu za kumfungulia nyuzi kila kukicha?

Amefukuzwa Simba na Sasa yupo Yanga lakini bado inakuuma tu, aiseeh kweli wabongo wachawi.Yaani mtu mliesema hana michango wowote kahamia Yanga ila bado inakuuma kwa kipi sasa? Angekaa bila kazi wewe ungemhudumia?

Acheni jamaa apige kazi bwana.
 
Aliyependwa na Baba yako ndiye Mama yako. Hakuna jinsi nyingine Mgosi.
 
Bila shaka jezi zimetufariji au kwako ni tofauti
 
Mimi hainiumi yanga kumpa kazi manara isipokuwa kuna yanga wangapi Tanzania nzima wenye sifa zaidi ya yale matapishi ya simba na je vipi kuhusu bumbuli yanga kindakindaki kwani ye hatoshi na nugaz je
Muda utaongea,,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…