loliondokwetu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 1,376
- 1,752
Alikuwa rafiki yangu mzuri sana. I'm deeply saddened to this dayBinamu wewe nae kwa fix eti hakanaga maringo kwani ulishawahi kukutana nae?
Ni kweli kabisa. Nakubaliana na weweAnavyoonekana tu, that's y hakuwahi kuwa maarufu kihivyo, maana qngekuwa mwingine dunia nzima wangemjua, nasikia alikuwa hana dharau wala maringo, kila mtu anaongea nae
we jamaa ni rahisi sana kutapeliwa.Ila alikua bado mdogo sana..huyu kweli angeweza kuja kua billionea...maake at the age of 21 anamiliki kindege chake.
Pumzikeni kwa amani..Namjua bhana, juzi tulikuwa nae kibo tegeta, na picha tukapiga jaman loh
jambazi umefukua kaburi unataka kuiba nini😅😅😅Pumzikeni kwa amani..