Young Bilionea wa Madini wa Arusha Afariki Dunia

Hiyo nyumba ndio ya bilionea ,kazi kweli kweli na lema mbunge ni bilionea wa ngapi

Kumbuka mtu anaweza kuwa na mjengo mkubwa ila hauna thamani kama mjengo mdogo wa hiyo.

Muhimu umepawekaje ndani, na nyumba hata 10 za aina moja, thamani itakuwa tofauti ikija mauzo.
 
Unaelewa kinachowaua? Kwa kifupi wapo waliojihusisha na dawa za kulevya wametangulizwa huko mbele maana hatutaki kesi halafu wapo waliokuwa wanasapoti mabadiliko ya kisiasa kwa kutumia fedha zao na elimu yao na hao fukia chini, wapo waliouana kwa sababu za kibiashara, mambo ni mengi.
 
Sasa kama wewe unahabari kamili si uiachie .!
Mtoa mada hivi kuna ulazima gani kuandika uzi kwa kupotosha?marehem jimmy hakuwa mfanyabiashara wa madini arusha acha uongo we pimbi..
 
Apumzike panapomstahili,21 yrs old alishakuwa billionaire alikuwa na muda kweli wa kumtumikia Mungu wake..anyway...atakipata alichokiishi huko aendako.kingine naomba mnieleweshe jamani,hawa mabilionea kwa Tz wapo Arusha tu miji mingine kama Dar na Mwanza hawapo?pia ni rank gani mtu akifika anakuwa na sifa za kuitwa billionaire??
 
uyo marehem ni mdogo wake na haidary kavira aliyewai kuwa x wa wema sepetu,alikuwa anafanya biashara ya madini na makazi yake ni hapa dar es salaam..its like family business.dogo alikuwa mla bata sana hakuwa na noma na mtu,ana heshima sana japo alikuwa na pesa mingi...RIP JIMMY YOUNG BLOOD MILLIONEIRE.
 
Tuache kukufuru vyeo vingine...
Bilionea wa zimbabwe?...
RIP "young bilionea"
 
Mbona simjui Huyo bilionea wa A town? Nipo huku Minjingu umenyeni tangu 90's sijawahi msikia Huyo dogo.

Hivi ni kweli king una ishi minjingu??? Zamani kidogo ulikuwa ukilitaja hilo eneo sana.
Huko minjingu ukiishi huko huwezi kuwajua mabiliinea wa Arusha.
 
Huyu na aidali hussen kavila ni ndugu maana jamani mnatumia majina ya watu na huyu ni jimmy imekaaje
 
huyu sio billionea wa arusha bali ni mdogo wake Haidali kavila

Nilikuwa najiuliza hio Benz niliwahi kuiona wapi?! Bado ile 2014 520i wasipokuwa makini nayo itaondoka na mtu.
 
Hivi ni kweli king una ishi minjingu??? Zamani kidogo ulikuwa ukilitaja hilo eneo sana.
Huko minjingu ukiishi huko huwezi kuwajua mabiliinea wa Arusha.

Yeah Nipo minjingu nafanya biashara ya kuuza mkaa town nakuja kuleta mkaa na kurudi tena porini,mabilionea wa atown wanajulikana ndugu labda Huyo dogo ni broker.
 
Thamani ya mali zako zikifika bilioni moja tu tayari wewe ni bilionea. Tupige Hesabu ya fasta hiyo helicopter kama kweli ni yake, Nyumba na mali nyingine anaweza kuwa amevuka bilioni moja.

Bilioni moja kwa currency gani, dollar, euro, pound, yen, yuan, rand au shillingi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…