Young Bilionea wa Madini wa Arusha Afariki Dunia

Young Bilionea wa Madini wa Arusha Afariki Dunia

Dah watu jf waongooo humu,kama humjui mtu usimzungumzie

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
poleni wafiwa, ila kwa nyie mabilionea wa arusha hasa madini , kama hizo mali mlizipata kwa kudhulumu mtakwisha kiajabu ajabu hivihivi, nlishapata stori moja sasa nimeanza kuamini mlinyang'anya sana mali za watu , na mkamtumia advocate bilionea mawalla na mkashinda sasa mrudieni Mungu , kwa mtazamo tu anzia kifo cha Mawalla , utaona mfululizo wa vifo vya ajabu kwa hawa mabilionea .



Kha ha ha ha haaaaaaaaaaaaa!!!!!!
 
Mtoa mada hivi kuna ulazima gani kuandika uzi kwa kupotosha?marehem jimmy hakuwa mfanyabiashara wa madini arusha acha uongo we pimbi..
 
Dah watu jf waongooo humu,kama humjui mtu usimzungumzie

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Kuna watu wanakurupuka kuleta habari eidha baada ya kusikia au kuambiwa.
 
Hawa wakina kavila wa magomeni wamelisi mali toka wapi kwa mzee kavila aliekua anakodisha viti na maturubai pale mwananyamala......sijui kama kwewli ni ndugu....ila naona nawachanganya ila wale wamwananyamala wako poa kwa ugali wa sembe na minyamanyama
 
Ila alikua bado mdogo sana..huyu kweli angeweza kuja kua billionea...maake at the age of 21 anamiliki kindege chake.

Thamani ya mali zako zikifika bilioni moja tu tayari wewe ni bilionea. Tupige Hesabu ya fasta hiyo helicopter kama kweli ni yake, Nyumba na mali nyingine anaweza kuwa amevuka bilioni moja.
 
Hawa wakina kavila wa magomeni wamelisi mali toka wapi kwa mzee kavila aliekua anakodisha viti na maturubai pale mwananyamala......sijui kama kwewli ni ndugu....ila naona nawachanganya ila wale wamwananyamala wako poa kwa ugali wa sembe na minyamanyama

Kavila kwake ni mwananyamala ali Kavila mzee mpiganaji kitambo sana,
 
Poleni ndugu ila kwa jinsi anavyoonekana dunia ingekuwaje kama angeishi mpaka miaka 50? anyway Mungu wetu anajua sana na ni mwema sana siku zote.
 
Back
Top Bottom