Hahaaaaaa yani majina ya watu yananiachaga hoi sana kuna mtu alikusanya herufi za madem zake wote ndio akajiita jina.Ok safi kiukwel kati ya tunda ninalolipenda sana ni chungwa kwahyo hata shemeji yako mwisho wa siku akanibatiza machungwa.hivyo tu.
[emoji16] [emoji16] [emoji16]Hahaaaaaa yani majina ya watu yananiachaga hoi sana kuna mtu alikusanya herufi za madem zake wote ndio akajiita jina.
Cc. Chamilton
Mm napenda nanasi ningejiita hivo
Vipi asee aliwahi kukuopoa akakupeleka kwa T Touch nini? Pole sana mrembo kwa kulazwa studioIsiwe ikawa kiki ya nyimbo pakukaa hana anakaa studio kwa t touch halafu ajikute tu anaoa
Ata mimi cjajua naona kama wote wasichanaBwana harusi ni yupi hapo? Au hao ni ma maids?
Unaona kila anayeongea hivyo kalalwa na huyo teja eenh na kila siku tunaona kwenye shilawaduVipi asee aliwahi kukuopoa akakupeleka kwa T Touch nini? Pole sana mrembo kwa kulazwa studio
anakaa kwa T touch?Vipi asee aliwahi kukuopoa akakupeleka kwa T Touch nini? Pole sana mrembo kwa kulazwa studio
KAA KARIBU NA REDIO YAKO...Ni Young Dar es salama,Kama ni kweli basi Hongera sana dogo....but kama ni wimbo basi tunausubiri...View attachment 833666View attachment 833679View attachment 833820
Ngada hiyo hapo gari ishawakaDuuh mbona huyu kijana karegea sana
bc yajayo yanatishaNgada hiyo hapo gari ishawaka
Unapofunga ndoa inagakiwa uweje kichwani?Hyo ndoa kafungia kanisa lipi na hyo "twende kilioni" ya kichwani??
Ni kiki ya wimbo hyo
Atakua kafungishwa na yule padri rapa wa Kenya aliyesimamishwa kwa muda.nimejiuliza sana hilo swali nikasema ngoja tumpe muda mana makanisa ya siku hizi mengi kimeo anaweza kufungishwa hivyo hivyo na msuko wake
Leta audio hapaWimbo umetoka Jana jumatatu unaitwa 'naoa'