Mussa Tendeli
Member
- Jun 9, 2016
- 26
- 12
Kabisa. Hahahaaaaaaaa[emoji23][emoji23]Itakuwa ugomvi wa LUKU...
Na masnichi nawaona kwa mbaliNiko zangu beach napata upepo wa bahari
kaushaSi alikanusha huyu jamaa
haufuatilii music chid hajawahi kuwa na manager aje ?wenye busara wanaongea wakiwa na jambo la msingiMeneja wake alijitahidi sana kumuokoa lkn alishindwa na alishasema kama atatokea wa kumsaidia basi atashukuru sana
Unaongea usingizini hapo anazungumziwa young dee wala sio chidhaufuatilii music chid hajawahi kuwa na manager aje ?wenye busara wanaongea wakiwa na jambo la msingi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaan ni mulemulee aseeeItakuwa ugomvi wa LUKU...
Sawa kamandaEnzi zangu huyo nilikuwa namfikisha kituoni anaimba jina langu.
[emoji5] [emoji5] [emoji5]Enzi zangu huyo nilikuwa namfikisha kituoni anaimba jina langu.
ndio police wa bongo hapo kila mmoja atahitaji rushwa wakifika kituoni.. kifupi lazima dogo apigwe hela ndefu sana..mbona polisi wengi katoto kadogo
Mungu hawezi kumlinda mpuuzi kama huyu!!unajua huyu chalii ni dogo mwemzangu! namuonea sana huruma. bora amzalir baba/mama yake mtotp mapema maana najua bado mbichi hayo madawa yatamlegesha sana.Mungu linda watu wako..