Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Huyo kijana anajitahidi sana kuanzia ile nyimbo ya bongo bahati mbaya,,sasa hiv naona kaja kiutani utani. ,,video zake si haba najua kucheza na camera halaf ile cheza yake huku akirap duu so mwaaaa[emoji8] anafurahisha kiukweli ,,na sasa naona kazidi pendeza ati,,
Aendelee kutuburudisha tu na azidi kutoa ngoma kali zaidi na zaidi
Kina hamornize waige hili kwa Young D anajua jamani na tumsapot huyu kijana angekuwa Ulaya angekuwa tajiri
Angalieni hiyo ngoma kiutani utani you tube halaf mnipe mrejesho hapa
Aendelee kutuburudisha tu na azidi kutoa ngoma kali zaidi na zaidi
Kina hamornize waige hili kwa Young D anajua jamani na tumsapot huyu kijana angekuwa Ulaya angekuwa tajiri
Angalieni hiyo ngoma kiutani utani you tube halaf mnipe mrejesho hapa