Young D: Sijakamatwa na polisi ila nilikuwa nashoot video ya wimbo wangu mpya

Pia young D aliongezea kuwa wameamua kushoot video hiyo kwa kutumia camera ya simu ili kuleta kitu cha tofauti kwenye tasnia ya muziki duniani..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani
 
Pia young D aliongezea kuwa wameamua kushoot video hiyo kwa kutumia camera ya simu ili kuleta kitu cha tofauti kwenye tasnia ya muziki duniani..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]noma sana
 
!
!
Huwa wanakataa mno mno kuwa hawatumii ila muda utatuambia. Yaani kutumia madawa ni sawa nakupanda mnazi nyuma ya nyumba na kutegemea majirani wasijue. Utakuwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…