Young dee kipaji kizuri kinachopotea kwa madawa (teen problems)

ALWATAN KIZIGO

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
539
Reaction score
644
Msanii mdogo Young Dee amejitumbukiza kwenye utumiaji wa madawa ya kulevya aina ya bhangi na cocaine. Aliyekuwa meneja wake alisikika akimsikitikia Young Dee kwamba amejiingiza kwenye makundi mabaya ya wala unga yeye pamoja na mchumba wake mtoto wa kigogo wa polisi.

Sasa hivi Young Dee amekuwa na dharau na kebehi kwa watu waliomsaidiaga kipindi yupo kwenye dhiki. Anahitajika abadilike yeye sasa kabla ya wakati haujambadilikia.
 
Kama ni kweli basi hongera yake kwa kuchagua anachokipenda kutoka moyoni mwake.
 
Hivi Huyo Dogo ni teja kweli? Mbona naona ngozi yake nuru ipo?
 
Young D..ngoja tupekue ma file yake humu ndani



duh ndo maana sikuhizi young d full mapoda na kushinda south Africa , mara anataka kwenda Nigeria kufanya collabo na patoranking , kumbe kuna mfadhili mchimba mtaro!



Young dee meneja wake kasema anakula unga



Ha ha ha yani tunda na bwana ake wote wanalia na mtu mmoja ha ha ha nicheke kama mazuri




Kama nimekusoma vileee, khaa mjin kuna mambo, nasikia nae young dee anashare bwana na tunda yule anayejifanya demu wake mmh ni shigidaa
 
Young Dee ukikutana nae huko mitaani ukamshobokea akikupotezea uje kuanzisha thread JF, eti ooh Ana madharau.... Kama anakula ngada kimpango wake, na we kula ugolo utoe nae ngoma droo. Kila mtu na starehe take maisha haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…