Young Dee na Amber lulu mambo hadharani

wanafanana style ya nywele au?!
na atafika Mbali wapi huko?!
Amber lulu anajitahidi sana kufanana na Amber rose kwa Africa mashariki na hakuna wa kumfikia kwa sasa. Sema bado anahitaji support ya kutosha kutoka kwa watanzania na wadhamini
 
Haikua na ulazma WA kuongea maneno kama hayo kwenye Media
 
Yaan we acha tu kijana sijui macho yake yana matege ,ila navyoona kwa kuwa huyo msichana ni cheap sana akaone ngoja akaoshe rungu kidogo kashindwa kumliki Tunda huyo ana hela
Dem mwenyewe hata me nikitaka napiga hata sasa
 
Amber lulu anajitahidi sana kufanana na Amber rose kwa Africa mashariki na hakuna wa kumfikia kwa sasa. Sema bado anahitaji support ya kutosha kutoka kwa watanzania na wadhamini
bado umeng'ang'ania tu.. alafu hata uelewi Kwanza hawajafanana kabisa ila kinachotokea huyu lulu kapunguza nywele zake kama Amber Rose alafu kaziweka dawa kama Amber Rose alafu akajibatiza jina la Amber Rose nothing more
 
bado umeng'ang'ania tu.. alafu hata uelewi Kwanza hawajafanana kabisa ila kinachotokea huyu lulu kapunguza nywele zake kama Amber Rose alafu kaziweka dawa kama Amber Rose alafu akajibatiza jina la Amber Rose nothing more
Ukweli ni huu hapa...
 
Ukweli ni huu hapa...
Mnachuki tu wakuu.
Amber lulu akipata wadhamini na mikataba siku moja mtamsahau. Huyu binti akiwezeshwa anaweza seriously
bado umeng'ang'ania tu.. alafu hata uelewi Kwanza hawajafanana kabisa ila kinachotokea huyu lulu kapunguza nywele zake kama Amber Rose alafu kaziweka dawa kama Amber Rose alafu akajibatiza jina la Amber Rose nothing more
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…