donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji6]Sawa
HeheheHee kanasuka tena kama dadaake??
Kweli ila mbna wapo mkuuDogo namkubali sana. Ila katika hao mavideo Queen angekuwepo mtoto mwenye ngozi nyeusi video ingenoga vizuri
hao siku hizi wamekuwa adimu kuliko Pesa.Dogo namkubali sana. Ila katika hao mavideo Queen angekuwepo mtoto mwenye ngozi nyeusi video ingenoga vizuri
True that mkuuYupo vizur ila naona melod zake na style zipo the same kama vile ngoma yake ya furaha
Kwel kabisa mkuuYoung D kwenye hii ngoma: Mtindo wa Kichwani-Offset (itakuwa aftermath ya bad n' boujee)
Mtindo wa mavazi-Yung thug mixer ya ASAP rocky kidoogo.
Mtindo wa kucheza: Lil Uzi.
Yeah melody imekaa poa kimtndoBonge moja ya ngoma.....Akitulia anaweza kutengeneza Asali.
Wewe itakuwa yule mwalimu Mp mnoko wa Pale JktKunahaja yakupeleka vijana woote jkt kabisa,yaani linasemabeti bongo bahati mbaya?ahamie sasa huko ambako sio bahatimbaya