mama dunia
JF-Expert Member
- Dec 22, 2011
- 420
- 84
May be hujanipata nataka nini.nimesema kuna event so kama mtu hatapenda kushiriki hawezi kulazimishwa nasifikiri kama haupo interested kwanini ujiinvolved so si lazima..na siwezi kupitia migongo ya watu kwa kipi hasa..so haulazimishwi kutaja au kujitaja baba sawa?..nimeweka hapa ili kupata majina mengi ya waliofanikiwa fani mbalimbali nchini kuliko kuwa na list kidogo ambayo inaweza kutofikia lengo.
Kama wewe unatazama sana tv kuna kipindi kipo k24 kinaitwa young reach! Nafkr ukikiona unaweza kupanuka mawazo..usiwe na mawazo yaleyale kila siku.thanks
unaona sasa kipindi mara sijui wapi be creative mama dunia copy and paste ni hatari kwa uwezo wa kizazi cha leo hasa kwa mmbo ya kufikiria acheni uvivu ebu bubi na kuwa watafi acha uzembe wa kutumia ubungo!
Kufanikiwa ni nini, kunapimwaje?
Niliyekuwa nakata mkaa nikinunua chainsaw ni mafanikio, mnahitaji namba yangu?
Mchuuzi wa bidhaa za nje anaeendeleza soko la ajira za nje na kutupunguzia fedha za kigeni kwa kutuletea solar power, tunaweza kumwita mfanikiwa zaidi ya yule anayezalisha ndani katoa ajira na kuokoa fedha za kigeni japo huyu wa mwisho ana suti chache kuliko wa kwanza?
Ni kweli unacho sema.Kufanikiwa ni nini, kunapimwaje?
Niliyekuwa nakata mkaa nikinunua chainsaw ni mafanikio, mnahitaji namba yangu?
Mchuuzi wa bidhaa za nje anaeendeleza soko la ajira za nje na kutupunguzia fedha za kigeni kwa kutuletea solar power, tunaweza kumwita mfanikiwa zaidi ya yule anayezalisha ndani katoa ajira na kuokoa fedha za kigeni japo huyu wa mwisho ana suti chache kuliko wa kwanza?
Ni kweli wachuuzi wanaitwa wajasiriamali. Kama ni hao mbona wapo wengi tu hapo kariakoo? Eti mtu auza solar, ambazo anaagiza nje, hajawahi hata kumodify hata kufanya value addition kidogo achalia mbali ku invert product nae tunamwita mjasiliamali.Tanzania kuna shida kwenye kudefine mjasiriamali, kuna watu ni wafanya kazi na wana biashara zao. pembeni still wanaitwa wajasiriamali. Huyo Ngowi anafanya uchuuzi wa solar, je mchango wake kwa uchumi wa Nchi ni upi? Tafuteni watu wanao au walio ibadilisha Tanzania, na kama hawapo basi si vibaya kuchukua wachuuzi.
Hi wanajamvi..kuna event tunaandaa na tunafikiria kuwainvolve wajasiriamali vijana waliokwishapata mafanikio ktk umri mdogo atleat wasiwe wamezidi 40 years hivi, hawa vijana watasaidia kuwainspire wengine wanaochipukia na mambo kadha wa kadha..mfano yule ngowi wa solar nk.
Ninachoomba ni majina yao kama unawajua na contacts zao kama unazifahamu na business wanayofanya pia.
Natanguliza shukrani
Ni kweli wachuuzi wanaitwa wajasiriamali. Kama ni hao mbona wapo wengi tu hapo kariakoo? Eti mtu auza solar, ambazo anaagiza nje, hajawahi hata kumodify hata kufanya value addition kidogo achalia mbali ku invert product nae tunamwita mjasiliamali.
Labda mama dunia ungeanza kuweka sifa za watu unaowahitaji ili tujue ni watu gani unawataka. Tutakusaidia.
Iyo event naisubiri kwa hamu, Sory mama dunia yule kungwi maarufu au(anyway tuyaache hayo mana hua Kuna Mama dunia namskia sana PILLOW TALK)...nasubir event na kuhusu Young Entrepreneur bado na search
Kuna malipo yoyote? Au mtanufaika nyie waandaaji