Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Killer kagusa mule mule, kamwambia hawezi cheza ligi moja na watotoLunya anapiga makelele tu nyuma ya mic, hajui kuchana sometimes hata vina anaunga unga tu ilimradi dakika zisogee
Hiyo diss track afu sijaiskiza, ngoja nikipata time ntaicheki japo sina hakika kama Lunya ataweza ku respondKiller kagusa mule mule, kamwambia hawezi cheza ligi moja na watoto
Kama fact inazingatia kujitambua unaweza kuwa sahihiLunya yupo vizuri anajitambua
Yaani msodoki kamaliza ubishi ndani ya sinaga swaga 6, sidhani Kama lunya atarudia kumtajatajaSasa Lunya nae anaimba nn? Amuache msodokiiiii wetuu, hamuweziiii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Lunya Ni msanii wa daraja la chini sanaLunya endelea kuwapelekea moto.
Endelea kunata na beat..
Young Killer anachorap these days ni hata hakieleweki
Wimbo ni freestyle session 6, sio Sina swaga vol 6. Kama ilivyowekwa hapo.
Ila hajui kudis huyu killer, lunya amemchakaza