Young killer: Chief kiumbe akinipa ndinga Sikatai

Chief kiumbe ni mwislam na kwa sasa yuko katika funga. Hivyo hawezi kukupa gari kwa sababu utamshindisha njaa.

Mkumbushe akimaliza funga. Lakini sidhani kama anatumia hilo tangazo la jaza ujazwe.
 
Kweli game ngumu dogo anatangaza biashara..
Duh kidume unasubiria kuhongwa anazan ni fre linda atahusuka yangu macho
 
yangi killa jibu lake limejaa ukakasi sana!
 
Laini laini a.k.a. usinilaumu maishalaha mtoto kabarikiwa killer ila hajawai ku kill hata mbu
 
We jamaa thread zako nyingi zina chembechembe za haya mambo, sijui vipi wenzetu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…