monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,256
- 11,377
[emoji23] [emoji15] [emoji15] [emoji15] hao siafu waambie watulize mshonokwa makusudi kabisa yani umeamua kuweka hiyo profile picture...
Umeamsha siafu wangu...
Utaka kusema ata Trace music, MTV ni za Wachaga? Ata Sarkodie alie tumia ngoma ya Joh Coke studio n Mchaga, RFA , KISS FM alikotokea sana Joh no za wachaga? Joh anajua sana na anachowaacha wenzie anajua kwenda na soko la mziki.Sikatai kuwa jo ni mkongwe ila media hasa zile zinazokaliwa na watangazaji wachaga wamekuwa wakilazimisha kutuaminisha kuw joh ni mkali kuliko wengine kitu ambacho sio kweli yaan joh huwa anahit hata akiimba ujinga tofauti na marapa wakali kama fid q au roma wanatoa nyimbo kali ila huwa zinabaniwa ila joh anapewa promo sana kuliko uwezo wake jamani
Utaka kusema ata Trace music, MTV ni za Wachaga? Ata Sarkodie alie tumia ngoma ya Joh Coke studio n Mchaga, RFA , KISS FM alikotokea sana Joh no za wachaga? Joh anajua sana na anachowaacha wenzie anajua kwenda na soko la mziki.
Darasa nae kagundua Manuva sasa anacheza na soko tu ndo maana anakwambia blah blah ataki kuskia..
Mafanikio hutokana na jitihada za mtu.
Sio lazima Joh awe kama Did au Roma. Kwa vile fasihi INA dhima kuu mbili kuelimisha na kuburudisha
Mfano wa hao watangazaji wachaga ni nan na nan????Sikatai kuwa jo ni mkongwe ila media hasa zile zinazokaliwa na watangazaji wachaga wamekuwa wakilazimisha kutuaminisha kuw joh ni mkali kuliko wengine kitu ambacho sio kweli yaan joh huwa anahit hata akiimba ujinga tofauti na marapa wakali kama fid q au roma wanatoa nyimbo kali ila huwa zinabaniwa ila joh anapewa promo sana kuliko uwezo wake jamani
Hatulazishwi na mtu ila muziki wake!Sikatai kuwa jo ni mkongwe ila media hasa zile zinazokaliwa na watangazaji wachaga wamekuwa wakilazimisha kutuaminisha kuw joh ni mkali kuliko wengine kitu ambacho sio kweli yaan joh huwa anahit hata akiimba ujinga tofauti na marapa wakali kama fid q au roma wanatoa nyimbo kali ila huwa zinabaniwa ila joh anapewa promo sana kuliko uwezo wake jamani
Kwelii Kbsaa mkuu.. Badala ya kupiga kaz wanabaki kulalama tu.. BTW hawapendi ni ya 2004 mkuuJoh nimesikia track yake ya kwanza mwaka 2005 (hawapendi), kuanzia hapo hajawahi kurudi nyuma ni hit after hit hadi Leo hii. Namuheshimu sana msanii anayeweza kumaintain, wengi wamepita hapo katikati na tumewasahau, wengine wako sober house