Young Killer: Joh Makini anabebwa, hili lipo wazi

ni kweli Joh ni mkali lakini Clouds inawabeba sana tofauti na washikaji wengine,
Halafu wametumia kundi la weusi ili kupata show lakini ukweli kwa Tz makundi ni Yamoto, Navykenzo, Mkubwa na wanawe(salam tmk) kwa mbaali!
 
ni kweli Joh ni mkali lakini Clouds inawabeba sana tofauti na washikaji wengine,
Halafu wametumia kundi la weusi ili kupata show lakini ukweli kwa Tz makundi ni Yamoto, Navykenzo, Mkubwa na wanawe(salam tmk) kwa mbaali!
Elezea wanavyowabeba
 
Kwani Joh aliyetajwa kwenye hicho kibao lazima awe Joh Makini???
 
Elezea wanavyowabeba
Unajua joh alipataje collabo na aka???ni kwa sababu mchovu alijiongelesha kwa aka kwenye interview

Ndo kubebwa kwenyewe sasa huko
 
Hahah hapa Ni sawa na kinyau kinamkoromea SIMBA, hahah
 
Ujinga aliimba kwenye wimbo gani ?
 
Unajua joh alipataje collabo na aka???ni kwa sababu mchovu alijiongelesha kwa aka kwenye interview

Ndo kubebwa kwenyewe sasa huko
1.Kwa hiyo Mchomvu ndio alimpa connection na AKA ?

2.Kufanya collabo na AKA ndio kubebwa?

3.Clouds ndio walimpa collabo na Rabbit,Navio,Collo,Chidimma,Coke Studio ?
 
Hebu tujiburudishe na mistari kadhaa kutoka kwa Lord Joh Makini:

Unafika home kisha mamako anakueleza ndani ya hii gemu umefunikwa na Joh Makini,

mwamba wa kaskazini, utamjibu nini,

nimefanya kweli kiasi ambacho imewabidi kubana lakini,

mchezo mnaushuhudia dakika tisini,

nakuona jinsi nilivyokukandamiza chini,

nastahili siti ndani ya V.I.P,

toka Arusha mi ndo king kama B.IG,

nafanya classic material kwenye R.AP,

sina udazz, fix wala u-M.O.P,

nasimama Joh kama Joh Makini,

nainua ma-fans vitini,

nawadatisha, nawarusha dakika zote tisini!
 
Atafute kwanza joh alikuwa anaitwa nani kabla ya kuitwa joh makini. Kaanza kuimba akiwa mdogo kuliko DOGO janja. Kipindi hicho miaka ya 90's akiitwa rapture.(rapcha)

Huyu dogo Rapcha wa Bongo Records ni ndugu yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…