Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi ashakutajia?Hebu nitajie wimbo mmoja wa joh ambao ni wakijinga kabisa lakini umepewa promo na hao watangazaji wachaga ambao naamini ndio pekee wanatangaza vituo vyote hapa Tanzania
Hawazi kuthubutu kurudisha hata pua yake hapa!Vipi ashakutajia?
Msanii Young Killer anadai Joh Makini anabebwa na kudai ni suala ambalo lipo wazi kwa kuwa watu wengi wanalizungumzia
Amemtolea mfano Chid Benz kulisema hilo lakini akasema tena sio yeye anasema bali me quote yanayosemwa na watu.
Hebu nitajie wimbo mmoja wa joh ambao ni wakijinga kabisa lakini umepewa promo na hao watangazaji wachaga ambao naamini ndio pekee wanatangaza vituo vyote hapa Tanzania
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]mxiuuuu katoto kajuzi tu haka kanaanzs nyodo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] tumsamehe dogo kalewa umaarufu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
hata mimi kameniuzi sana.. na nyimbo zake kuanzia sasa ni marufuku kusikika katika masikio yangu.
Sikatai kuwa jo ni mkongwe ila media hasa zile zinazokaliwa na watangazaji wachaga wamekuwa wakilazimisha kutuaminisha kuw joh ni mkali kuliko wengine kitu ambacho sio kweli yaan joh huwa anahit hata akiimba ujinga tofauti na marapa wakali kama fid q au roma wanatoa nyimbo kali ila huwa zinabaniwa ila joh anapewa promo sana kuliko uwezo wake jamani
Hongera kwa kuutumia uhuru wa kuropokaJoh Makini songi lake la maana ni "hao"tu zingine zote hakuna kitu...
UfalmeJoh Makini songi lake la maana ni "hao"tu zingine zote hakuna kitu...
Majitu mengine ni majinga tu.. Sasa kama huyu ameleta hoja ya watangazaji wachaga eti ndio wanambeba.. Mbona hajiulizi kwanini mdogo wake joh(Niki wa pili) hafiki level za joh?? Au hao watangazaji wachaga hawamuoni Niki wa pili??Naomba unitag akikupa jibu wabogo buana Mtu anabebwa toka mwaka 2004 Mpaka leo MTV Trace Dogo mda si mrefu mtaskia yupo sober
Sisi tuna deal na head line, hayo ma clip yanakula sana bundle.Wengi wa wachangiaji naona hawajatazama hiyo clip.. Wamekuja kudiss tu
huu ni ukweli ambao tunausemaga wachachee mkuu big upSikatai kuwa jo ni mkongwe ila media hasa zile zinazokaliwa na watangazaji wachaga wamekuwa wakilazimisha kutuaminisha kuw joh ni mkali kuliko wengine kitu ambacho sio kweli yaan joh huwa anahit hata akiimba ujinga tofauti na marapa wakali kama fid q au roma wanatoa nyimbo kali ila huwa zinabaniwa ila joh anapewa promo sana kuliko uwezo wake jamani
Mkuu wengi wanaomponda Joh wanata eti achane kama kwenye "Ao". Wanashindwa kung'amua ata Fid Q Wa kwenye "Huyu na Yule" sio uyu Wa Leo. Awaon kua ata uyo Roma anabadilika awe Msasa. Uwezi kuamini Roma anaimba nyimbo inaitwa K tena kwenye mdundo Wa singeli, awamwon Legendary Prof J, Sugu, ata mbabe Kalapina aliimba kabisa na bado akashindwa kumantain. Wasanii wanaojifanya hiphop halisi kina Sparkdogy, Chindo, Bounako, Tamadun wako WAP,?Majitu mengine ni majinga tu.. Sasa kama huyu ameleta hoja ya watangazaji wachaga eti ndio wanambeba.. Mbona hajiulizi kwanini mdogo wake joh(Niki wa pili) hafiki level za joh?? Au hao watangazaji wachaga hawamuoni Niki wa pili??
Sikatai kuwa jo ni mkongwe ila media hasa zile zinazokaliwa na watangazaji wachaga wamekuwa wakilazimisha kutuaminisha kuw joh ni mkali kuliko wengine kitu ambacho sio kweli yaan joh huwa anahit hata akiimba ujinga tofauti na marapa wakali kama fid q au roma wanatoa nyimbo kali ila huwa zinabaniwa ila joh anapewa promo sana kuliko uwezo wake jamani