Patiee
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 474
- 719
Huyu kijana ni moja kati ya wanamuziki bora wa hip hop bongo.Ni mtunzi mzuri sana na pia uko very creative kwenye kutupe vile tunaita mistari kwenzi.
Series ya sinaga Swagga imenikosha mno hasa hii ngoma ya tatu,ametupa ladha tuliyokuwa tukikosa ktk wasanii wengi wa hip hop
Ni kitendo cha muda tu ,young killer atakuwa signed WCB.
Chibu Jana ali tweet "sio kila young ni kila"
Babu tale alisema yeye ni number one fan wa huyu kijana,ni kitendo cha muda tutamuona kijana WCB
By the way,nimeona performance zake wasafi festival, kijana ni mbunifu sana,
Anateka mashabiki kuanzia mavazi na moves zake kwenye stage,
Sikuamini zile sarakasi alizoruka kwenye performance ya zenji.
Too bad mpaka sasa kijana hana video yenye million viewers licha ya kuwa na wafuasi 1.5million Instagram,the only cure ni WCB .
Welcome to the home of east African music youngkiller
Series ya sinaga Swagga imenikosha mno hasa hii ngoma ya tatu,ametupa ladha tuliyokuwa tukikosa ktk wasanii wengi wa hip hop
Ni kitendo cha muda tu ,young killer atakuwa signed WCB.
Chibu Jana ali tweet "sio kila young ni kila"
Babu tale alisema yeye ni number one fan wa huyu kijana,ni kitendo cha muda tutamuona kijana WCB
By the way,nimeona performance zake wasafi festival, kijana ni mbunifu sana,
Anateka mashabiki kuanzia mavazi na moves zake kwenye stage,
Sikuamini zile sarakasi alizoruka kwenye performance ya zenji.
Too bad mpaka sasa kijana hana video yenye million viewers licha ya kuwa na wafuasi 1.5million Instagram,the only cure ni WCB .
Welcome to the home of east African music youngkiller