Free ideas
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 3,497
- 2,026
Ni nani huyu ?, tufahamisheni kwanza,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni nani huyu ?, tufahamisheni kwanza,
Msodoki ni underground!! Asipojitambua atafata nyayo za Young D na Dongo janjaro
Bado ananiijia ndotoni aaaa kila nikiamka
simuoniii ,bado ananijia nikilala haki ya
Mungu sio masiharaaaaaaaaaaa
Hii ni sauti ya raisi iliyomshindaga Ibilisii
kwa mwanadamu sio rahisiii
Kamwambieeeeeee
Jaman mjue kutofautisha kati msalaba na
jumlisha
Kuna x na kuzidishaaaaa
Vichecheeeeeeeeeee
Daimond Shikamoooooooooooooo
kwa sasa ma-giant wa hiphop bongo ni fid q na joh makini.
Ila inabidi wamuangalie huyu dogo kwa jicho la ziada sana, wasimchukulie poa kama nilivyomchukulia mimi b4.
Moja ya vitu tunavyopima kwenye ukali wa hiphop ni ile mistari chokonozi.
Sasa labda wapi niwape mistari chokonozi baadhi ya awa ma-giant alafu mtaona nafasi ya kumwekea huyu bw mdogo.
Joh makini kwenye "najiona mimi" anakwambia ......."" sugar mummy ataki kushika kushika moo anashika muwa"".
Fid q kwenye " siri ya mchezo" anakwambia......"" mjinga utashangaa kumuona martini' kadinda "".
Yung killa kwenye 13 anakwambia "" shoga ata utoe jicho vipi huwezi yaona mafanikio"".
Ambao bado mnamchukulia poa huyu dogo mpeni sikio lenu tena.